Tujikumbushe ajali ya Treni 2002, Dodoma

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
Habari toka kwa wadau kipindi cha ajali hiyo




 
Last edited by a moderator:
Hilo ni Eneo ambalo walizikwa Ndugu zetu,jamaa zetu waliopoteza Maisha,Na ilijengewa Eneo maalumu,kwa kumbukumbu za vizazi vijavyo,lakini cha kushangaza siku za yalikuwa yanafanyiwa Usafi,lakini baada ya kuweka kufuli getini pale,na Hao TRL KUKALIWA na Wahindi wakasahau kama wana eneo la kumbukumbu ambalo lilihitaji usafi.

Majirani wa Makaburi hayo wanalaani kitendo hicho kwani serikali ilitumia gharama kubwa sana hapo na kwanini yatelekezwe?

Unapopiga kelele ni kwamba umezoea kusoma maelezo,lakini picha imebeba maelezo mengi.

Eneo hilo limegeuka kichaka cha wezi,wavuta bange na wengine kutangua torati,Je kwako ni sawa?


Lango kuu la kuingia kwenye makaburi ya abiria waliokufa kwenye ajali ya treni Dodoma


Baadhi ya makaburi ya watu waliokufa kwenye ajali ya treni Dodoma.


Mnara ulio kwenye eneno la makaburi.


Eneo sehemu ya makaburi ambalo limekuwa likilalamikiwa kuwa kitovu cha kufanyia uchafu
kama kuvuta bangi na kufanya ngono.
 

Attachments

  • kaburi1.jpg
    44.6 KB · Views: 4,751
Kipengele cha kilichojiri Bungeni juu ya ajali hiyo
KAULI YA MHE. PROF. M.J. MWANDOSYA (MB.),
WAZIRI WA MAWASILIANO NA UCHUKUZI KUHUSU KUHITIMISHA ZOEZI LA UOKOAJI,
UTENGENEZAJI WA NJIA NA KUUNDWA KWA TUME YA UCHUNGUZI WA AJALI YA TRENI YA ABIRIA NA.A12 ILIYOTOKEA TAREHE 24/6/2002 KATI YA IGANDU NA MSAGALI

 
Hebu tupia mchango wako, unakumbuka vipi?ulikuwa wapi?na ulipokeaje taarifa hizo?
 
Kama ndugu wenye wapendwa wao wameyatelekeza makaburi msithubutu kuishinikiza serikali itumie kodi yangu kusafidha hapo!
 
hivi hata kusafishwa kwa makkaburi ni swala la kulaumu serikali?
NOT FAIR AT ALL
 
Eneo la makaburi kuligeuza kitovu cha maovu kama kuvuta bangi na ngono ni laana ya milele.Ni vyema wahusika wakaangalia jinsi ya kukomesha tabia hii mbaya.
 
dah! nilikua mdogo,,, bt nakumbuka kuna dada mmoja jirani was there, so sad aliacha her baby boy .
 
Nilikuwa Iringa kipindi hicho na nilimpoteza school mate kutoka Mwanza.
 
Kama ndugu wenye wapendwa wao wameyatelekeza makaburi msithubutu kuishinikiza serikali itumie kodi yangu kusafidha hapo!

mkuu kabla ya kuzikwa maiti zile zilipangwa uwanja wa jmhuri na wananchi walienda kuzitambua maiti ,zilizotambuliwa ndugu walichukua kwa maziko,ambazo hazikutambuliwa ndio serikali ilizika,na nikwambie kitu kwenye makaburi sio yote yalizikwa maiti,mengine viliwekwa viungo tu.
 
Ilikua ni speed ama bomu lilihusika,maana kiwango cha maafa kilikua juu sana kuzidi hata ajali za train za mwendokasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…