Tujikumbushe ajali ya Treni 2002, Dodoma

Tujikumbushe ajali ya Treni 2002, Dodoma

Aiseee miaka hiyo ni kama ilitaka kuwa kama ajali ya mv bukoba kwa watu wa kanda ya ziwa familia nyingi unakuta imepoteza mtu au watu kadhaa.


Hii ya tabora tena ni hatari sana mtupe mrejesho ambao mnaweza kufika eneo la tukio.
 
Kipengele cha kilichojiri Bungeni juu ya ajali hiyo

KAULI YA MHE. PROF. M.J. MWANDOSYA (MB.),
WAZIRI WA MAWASILIANO NA UCHUKUZI KUHUSU KUHITIMISHA ZOEZI LA UOKOAJI,
UTENGENEZAJI WA NJIA NA KUUNDWA KWA TUME YA UCHUNGUZI WA AJALI YA TRENI YA ABIRIA NA.A12 ILIYOTOKEA TAREHE 24/6/2002 KATI YA IGANDU NA MSAGALI



Hahahaaha Zubedayo mchuzi alifia wapi? Huyu MATAGA alisumbua sana
 
Back
Top Bottom