Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
1. Mhe Kingunge Ngombale Mwiru-waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera uratibu na Bunge
2. John Joseph Pombe Magufuli-Waziri wa Mifugo na uvuvi.
3. Zakia Hamdani Meghji- waziri wa Fedha na Uchumi
3. Prof. Peter Msola- Waziri wa elimu ya juu sayansi na Teknolojia
4. Mhe. Anthony Dialo- waziri wa habari na utamaduni.
5. Nadhiri Mustafa Karamagi- waziri wa Nishati na Madini
6. Prof. Athumani Kapuya- waziri Maliasili na utalii
7. Dkt Hussein Ally Mwinyi- Waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga taifa
8. Prof. Mark James Mwandosya waziri wa mawasiliano na uchukuzi. Baadaye waziri asiyekuwa na wizara maalum
9. Jumaa Jumaldin Akukweti- waziri wa viwanda na biashara
10. Dkt Abeid Maua Daftari_ waziri wa jinsia watoto na wenye ulemavu
11. Lawrence Kego Masha- waziri wa Mambo ya ndani.
12. Shukuru Kawambwa- waziri wa Elimu na utamaduni
13. Bernard Membe- waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
14. Mizengo Peter Pinda- waziri sheria na katiba
15. Mwigulu Nchemba- waziri wa Ardhi
Kama ntakuwa nimesahau marekebisho ruhusa na sio mitusi
2. John Joseph Pombe Magufuli-Waziri wa Mifugo na uvuvi.
3. Zakia Hamdani Meghji- waziri wa Fedha na Uchumi
3. Prof. Peter Msola- Waziri wa elimu ya juu sayansi na Teknolojia
4. Mhe. Anthony Dialo- waziri wa habari na utamaduni.
5. Nadhiri Mustafa Karamagi- waziri wa Nishati na Madini
6. Prof. Athumani Kapuya- waziri Maliasili na utalii
7. Dkt Hussein Ally Mwinyi- Waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga taifa
8. Prof. Mark James Mwandosya waziri wa mawasiliano na uchukuzi. Baadaye waziri asiyekuwa na wizara maalum
9. Jumaa Jumaldin Akukweti- waziri wa viwanda na biashara
10. Dkt Abeid Maua Daftari_ waziri wa jinsia watoto na wenye ulemavu
11. Lawrence Kego Masha- waziri wa Mambo ya ndani.
12. Shukuru Kawambwa- waziri wa Elimu na utamaduni
13. Bernard Membe- waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
14. Mizengo Peter Pinda- waziri sheria na katiba
15. Mwigulu Nchemba- waziri wa Ardhi
Kama ntakuwa nimesahau marekebisho ruhusa na sio mitusi