Tujikumbushe Baraza la Mawaziri 2005

Tujikumbushe Baraza la Mawaziri 2005

1. Mhe Kingunge Ngombale Mwiru-waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera uratibu na Bunge
2. John Joseph Pombe Magufuli-Waziri wa Mifugo na uvuvi.
3. Zakia Hamdani Meghji- waziri wa Fedha na Uchumi
3.Prof. Peter Msola- Waziri wa elimu ya juu sayansi na Teknolojia
4. Mhe. Anthony Dialo- waziri wa habari na utamaduni.
5. Nadhiri Mustafa Karamagi- waziri wa Nishati na Madini
6. Prof. Athumani Kapuya- waziri Maliasili na utalii
7 Dkt Hussein Ally Mwinyi- Waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga taifa
8.Prof. Mark James Mwandosya waziri wa mawasiliano na uchukuzi. Baadaye waziri asiyekuwa na wizara maalum
9.Jumaa Jumaldin Akukweti- waziri wa viwanda na biashara
10. Dkt Abeid Maua Daftari_ waziri wa jinsia watoto na wenye ulemavu
11. Lawrence Kego Masha- waziri wa Mambo ya ndani.
12.Shukuru Kawambwa- waziri wa Elimu na utamaduni
Bernard Membe- waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
13.Mizengo Peter Pinda- waziri sheria na katiba
14.Mwigulu Nchemba- waziri wa Ardhi
Kama ntakuwa nimesahau marekebisho ruhusa na sio mitusi

Baraza lako hapa kwa asilimia 35 ni feki kabisa. Akina Andrew Chenge waliokuwa waziri wa Ujenzi hawapo, akina Mungai waziri wa Kilimo hayupo. Umechomeka wengi manaibu na kuwaita mawaziri kamili tena wengine katika wizara tofauti na walizokuwa nazo. Jf ni jukwaa la Great Thinkers, hivyo msituletee uchuro humu! Naomba moderators futeni takataka hii!
 
Acha uongo wewe, Wassira ameanza na ukuu wa mkoa wa Mara akiwa kijana wa miaka 26 miaka ya katikati ya 70. Angekuwa aliana uwaziri kabla ya uhuru si angekuwa na umri wa karibu miaka 90 sasa, maana baba wa taifa ambaye ni mkubwa sana kwake kiumri ana 100 sasa. Wassira sasa hivi ana miaka 76 kwa tasrifa yako na ni mdogo sana kwa akina Cleos Msuya ( 91), John Malecela ( 88), Pius Msekwa (87) na wengi tu ukiacha Mzee Mwinyi mwenye (97) sasa! Mnamkuza mtu ambaye bado kijana kuliko hata Amollo Odinga mwenye (77)?
?
 
1. Mhe Kingunge Ngombale Mwiru-waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera uratibu na Bunge
2. John Joseph Pombe Magufuli-Waziri wa Mifugo na uvuvi.
3. Zakia Hamdani Meghji- waziri wa Fedha na Uchumi
3. Prof. Peter Msola- Waziri wa elimu ya juu sayansi na Teknolojia
4. Mhe. Anthony Dialo- waziri wa habari na utamaduni.
5. Nadhiri Mustafa Karamagi- waziri wa Nishati na Madini
6. Prof. Athumani Kapuya- waziri Maliasili na utalii
7. Dkt Hussein Ally Mwinyi- Waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga taifa
8. Prof. Mark James Mwandosya waziri wa mawasiliano na uchukuzi. Baadaye waziri asiyekuwa na wizara maalum
9. Jumaa Jumaldin Akukweti- waziri wa viwanda na biashara
10. Dkt Abeid Maua Daftari_ waziri wa jinsia watoto na wenye ulemavu
11. Lawrence Kego Masha- waziri wa Mambo ya ndani.
12. Shukuru Kawambwa- waziri wa Elimu na utamaduni
13. Bernard Membe- waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
14. Mizengo Peter Pinda- waziri sheria na katiba
15. Mwigulu Nchemba- waziri wa Ardhi

Kama ntakuwa nimesahau marekebisho ruhusa na sio mitusi
Kuna uongo mwingi sana humu. Juma Jamaldin Akukweti (RIP) alikuwa waziri ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge sio Viwanda na Biashara. Mwigulu hakuwemo. Membe Naibu, Waziri alikuwa Dr. Asha Mtengeti. Membe aliukwaa uwaziri baadaye.
 
Kipindi icho ndo kilikua kipindi cha hela sasa,bar zote za Sinza,Kino,Magomeni kuanzia asubuhi ni full house watu wanachamba koo kwa pombe.
 
1. Mhe Kingunge Ngombale Mwiru-waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera uratibu na Bunge
2. John Joseph Pombe Magufuli-Waziri wa Mifugo na uvuvi.
3. Zakia Hamdani Meghji- waziri wa Fedha na Uchumi
3. Prof. Peter Msola- Waziri wa elimu ya juu sayansi na Teknolojia
4. Mhe. Anthony Dialo- waziri wa habari na utamaduni.
5. Nadhiri Mustafa Karamagi- waziri wa Nishati na Madini
6. Prof. Athumani Kapuya- waziri Maliasili na utalii
7. Dkt Hussein Ally Mwinyi- Waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga taifa
8. Prof. Mark James Mwandosya waziri wa mawasiliano na uchukuzi. Baadaye waziri asiyekuwa na wizara maalum
9. Jumaa Jumaldin Akukweti- waziri wa viwanda na biashara
10. Dkt Abeid Maua Daftari_ waziri wa jinsia watoto na wenye ulemavu
11. Lawrence Kego Masha- waziri wa Mambo ya ndani.
12. Shukuru Kawambwa- waziri wa Elimu na utamaduni
13. Bernard Membe- waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
14. Mizengo Peter Pinda- waziri sheria na katiba
15. Mwigulu Nchemba- waziri wa Ardhi

Kama ntakuwa nimesahau marekebisho ruhusa na sio mitusi
Kwa Madelu kosa
 
Kweli sijui alikuwa wizara gani enzi hizo pia mzee Wasira

IMG_3733.jpg

Wassura Stephen Masatu huyo akila kiapo cha utii 1973 Desemba.
 
Back
Top Bottom