Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

Hapa unamkosea Juma nature ..huwezi kufananisha zama hizi ambazo sisi mashabiki ndo tunatafuta mziki na zama za nature ambazo mziki ndo ulikuwa unatafuta mashabiki.
Mkuu namuheshim sana juma nature lakini ukweli lazima usemwe SIR NATURE ni kweli alitingisha kipindi kile, lakini amin nakuambia apajawahi tokea msanii hapa tanzania akafikia ukubwa wa DIAMOND na kutawala game kwa muda mrefu na unapo taja wasanii A LIST AFRICA uwezi muacha diamond
 
Mkuu namuheshim sana juma nature lakini ukweli lazima usemwe SIR NATURE ni kweli alitingisha kipindi kile, lakini amin nakuambia apajawahi tokea msanii hapa tanzania akafikia ukubwa wa DIAMOND na kutawala game kwa muda mrefu na unapo taja wasanii A LIST AFRICA uwezi muacha diamond
Ni kweli, MR Nice alifanikiwa kutingisha sema alilast within 3 yrs, baada ya hapo akatoka kabisa kwenye ramani
 
Hata Nature asingetoboa, kumbuka Mkali wa Rhymes walikuwa wanaangalia sana kigezo cha uzito wa mashairi na sio performance tu jukwaani. Nature na Inspekta hicho kigezo hawana
Ndicho nilichosema hapo juu kwamba; hata kama kimtaa kimtaa tulimtegemea Nature lakini binafsi nilijua mbele ya Darubini Kali tusingechomoka... na kweli hatukuchomoka!
 
Ili ili ndio simulizi letu la ufasaha
Na izi izi ndio zetu nasaha
Kaa kwa makini zibua maskiao oooh
Dunia ile ya jana si dunia hii ya leo ooh

Jamaa alikuwa anajua sana watoto wa whatsapp hawawez jua izi mambo
 
Hili daluga kichugachuga unenge zari masabe take care machizi wanatambaa na boda, zamani sana ila alisalimu amri kwa kiroboto
 
Kweli mkuu lakini si kwa kupotea kule aisee
Game inakupoteza bila kupenda sio kama hautaki kutoa kazi.inspector now anafanya show za buku 2000 mwanza haaaaa....."Mtoto babandi colored uso soft usio chunusi natural color chotara mng'avu ng'avu maji ya kunde kaenda hewani sekunde kwao obay oysterbay masaki usafiri wa kifahari,kila akitaka gari anachange korando Rolls royce range mara Mercedes Benz makila kitu kwao stock beef cow kiti moto pork kwenye friji friza vimiminika vya kumwagililu mpaka kusaza weeeeee"
 
Game inakupoteza bila kupenda sio kama hautaki kutoa kazi.inspector now anafanya show za buku 2000 mwanza haaaaa....."Mtoto babandi colored uso soft usio chunusi natural color chotara mng'avu ng'avu maji ya kunde kaenda hewani sekunde kwao obay oysterbay masaki usafiri wa kifahari,kila akitaka gari anachange korando royce royce range makila kitu kwao stock beef cow kiti moto pork kwenye friji friza vimiminika vya kumwagililu mpaka kusaza weeeeee"

Hahaha umetisha mkuu
 
Inspector huwa namuelewa mno, ana uandishi wa kipekee sana,
anakupa flava huku ujumbe unakuingia taratiiibu...
 
Hapana sidhani kama alikua juu zaidi ya Sir Nature, nijuavyo walikua wanashindana na kupigana vijembe mpaka aliposalimu amri na kufanya collabo ya Mzee wa Busara remix.

Jamani i miss Mzee wa Kibla, where is he?
kibla tumeachana nae punde,
tmk sudani akitafuta <ngusujii>
 
Ulipo lala wewe ndipo nilipoamka mimi.
Hakuuuuna nomaaaa-🙂
 
Back
Top Bottom