Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba 17 amefariki leoWafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA). Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo, kimsingi imekuwa kama zile za wilayani ambazo watangazaji wake wengi ni ma DJ! Nimebaki nasikiliza 'Watanzania Tuzungumze Magazeti' japo nalo kuna Watangazaji wana UTOTO mwingi na wanapoteza muda mwingi kujiongelesha badala ya kutusomea magazeti! Ongeza na wewe majina niliyoyaacha!
1. Samweli Kiama
2. Rahabu Fungo (Fred) - Search Line
3. Prince Baina Kamukulu - Nyimbo za Kihindi, Matukio
4. Jose Kaila - Michezo
5. Baruan Muhuza - Michezo
6. Jumaa Ahmed Baragaza - Mambo mambo, Je huu ni UUNGWANA
7. Deo Kaji Makomba - Michezo, Jambo Afrika
8. Zubeir Msabaha - Bolingo Time
9. Deo Kududuye
10. Basil Mbakile
11. Paul James
12. Godwin Gondwe
13. Taji Liundi
14. Jacob Usungu - Muziki wa zamani, Roving DJ
15. Fredrick Bundala (Sky Walker)
16. Samada Maduhu
17. Steve Moyo Mchongi
18. Gabriel Zacharia
19. Gabriel Yotham
20. Roy Mlalike Maganga -Sitasahau
21. Wambura Mutani - Je huu ni UUNGWANA?
22. Stella Setumbi
23. Charles Mobea
24. Soggy Doggy
25. Samadu Hassan - Habari za Kimataifa
26. Mukhsin Mambo
27. Yahaya Mohammed Kimaro
28. Rankim Ramadhan
29. Thobias Chewe - KISS FM
30. Thobias Ngaraguru (Tobby The Flash) - KISS FM
31. Ezben the Rocker - KISS FM
32. John Kalani (JK) - KISS FM
33. Joan Itanisa
34. Irene Mwakalinga
35. Yvonne Kamuntu
36. Glorie Robinson Sabuni
37. Kid Bway
38. Borry Bwana - KISS FM
39. Leornad Mubali
40. Marko Munthali
41. Paul Mabuga
42. Malegesi Grayson
43. Lazaro Matalange
44. Alex Ngusa
45. Asia Mohamed
46. Jane Mukama
47. Mkamiti Juma
48. Enock Shilatu
49. Isaac Muyenjwa Nyagabona Gamba
50. Peter Omari
51. Ahmed Kipozi
52. George Vincent Sukari
53. Rosemary Mukangara
54. Beatrice Nyerere
55. Hamis Dambaya
56. Egbert Mkoko
57. Neville Meena
58. Stive Kabuye
59. Deborah Mpagama
60. Beatrice Rabach
61. Anselm Ngaiza
62. Thom Chilala
63. Lady the Butterfly - KISS FM
64. Fred Fidelis (Fredwaa) - Je huu ni UUNGWANA, Sindano tano za moto na Muziki wa Reggae
RipHusna Malinzi
RipFredwaa yupo clouds FM
KweliRFA ni funga kazi ..ni kiwanda kizuri sana cha kuzalisha watangazaji
Sahara Ni Sehemu Nzuri sana upande wa Practical na experience wako vizuriWafuatao ni watangazaji wa Radio Free Africa (RFA). Nilikuwa shabiki mkubwa wa RFA kwa maana ilijitahidi kuziba mapungufu ya RTD! Sasa hivi sera za radio hii zimebadilika sana na kukosa mwelekeo, kimsingi imekuwa kama zile za wilayani ambazo watangazaji wake wengi ni ma DJ! Nimebaki nasikiliza 'Watanzania Tuzungumze Magazeti' japo nalo kuna Watangazaji wana UTOTO mwingi na wanapoteza muda mwingi kujiongelesha badala ya kutusomea magazeti! Ongeza na wewe majina niliyoyaacha!
1. Samweli Kiama
2. Rahabu Fungo (Fred) - Search Line
3. Prince Baina Kamukulu - Nyimbo za Kihindi, Matukio
4. Jose Kaila - Michezo
5. Baruan Muhuza - Michezo
6. Jumaa Ahmed Baragaza - Mambo mambo, Je huu ni UUNGWANA
7. Deo Kaji Makomba - Michezo, Jambo Afrika
8. Zubeir Msabaha - Bolingo Time
9. Deo Kududuye
10. Basil Mbakile
11. Paul James
12. Godwin Gondwe
13. Taji Liundi
14. Jacob Usungu - Muziki wa zamani, Roving DJ
15. Fredrick Bundala (Sky Walker)
16. Samada Maduhu
17. Steve Moyo Mchongi
18. Gabriel Zacharia
19. Gabriel Yotham
20. Roy Mlalike Maganga -Sitasahau
21. Wambura Mutani - Je huu ni UUNGWANA?
22. Stella Setumbi
23. Charles Mobea
24. Soggy Doggy
25. Samadu Hassan - Habari za Kimataifa
26. Mukhsin Mambo
27. Yahaya Mohammed Kimaro
28. Rankim Ramadhan
29. Thobias Chewe - KISS FM
30. Thobias Ngaraguru (Tobby The Flash) - KISS FM
31. Ezben the Rocker - KISS FM
32. John Kalani (JK) - KISS FM
33. Joan Itanisa
34. Irene Mwakalinga
35. Yvonne Kamuntu
36. Glorie Robinson Sabuni
37. Kid Bway
38. Borry Bwana - KISS FM
39. Leornad Mubali
40. Marko Munthali
41. Paul Mabuga
42. Malegesi Grayson
43. Lazaro Matalange
44. Alex Ngusa
45. Asia Mohamed
46. Jane Mukama
47. Mkamiti Juma
48. Enock Shilatu
49. Isaac Muyenjwa Nyagabona Gamba
50. Peter Omari
51. Ahmed Kipozi
52. George Vincent Sukari
53. Rosemary Mukangara
54. Beatrice Nyerere
55. Hamis Dambaya
56. Egbert Mkoko
57. Neville Meena
58. Stive Kabuye
59. Deborah Mpagama
60. Beatrice Rabach
61. Anselm Ngaiza
62. Thom Chilala
63. Lady the Butterfly - KISS FM
64. Fred Fidelis (Fredwaa) - Je huu ni UUNGWANA, Sindano tano za moto na Muziki wa Reggae
Steve moto mchongi namkumbuka huyu jamaa kipindi anatangaza kipindi cha michezo na deokaji makomba efa,lala salaam Steve moyo mchongiNimepata taarifa mtangazaji mwingine aliekuwa Sahara Media Steve Moyo Mchongi amefariki dunia leo.
Astarehe kwa amani...
RFA ilikuwa na vipindi vizuri na vilivyopangika sambamba na watangazaji waliokuwa wakitangaza vipindi vyao kwa weledi mkubwa. Kila msikilizaji alipata kipindi chakd na hakika alikifurahia.
Walikuwa na coverage kubwa sana nchi hii kwani walisikika sehemu nyingi ambazo redio nyingine hazikufika. Sijui nini kilitokea mpaka asilimia kubwa ya watangazaji kuondoka. Ila walipata attention yetu kwa kweli.
Nimeusoma uzi wote hakika nimekumbuka mbali.
1. Sindano 5 za moto
2 Sitasahau
3. Uliza ujibiwe
4. Showtime
5. Weekend Fever
6. Mambo mambo
7. Je, huu ni uungwana
8. Ushauri wako
9. Uliza Ujibiwe
10. RFA Bonanza
11. Hakuna kulala
12. Masimulizi ya kihindi Jumapili
13. Search Line
14. Kile kipindi cha makabila
15. Je, wajua ?
16.
Hakika vizuri havidumu.
asante sana kwa kumbukizi nzuri mheshimiwa..ulikuwa ni wakati mzuri sanaRFA ilikuwa na vipindi vizuri na vilivyopangika sambamba na watangazaji waliokuwa wakitangaza vipindi vyao kwa weledi mkubwa. Kila msikilizaji alipata kipindi chakd na hakika alikifurahia.
Walikuwa na coverage kubwa sana nchi hii kwani walisikika sehemu nyingi ambazo redio nyingine hazikufika. Sijui nini kilitokea mpaka asilimia kubwa ya watangazaji kuondoka. Ila walipata attention yetu kwa kweli.
Nimeusoma uzi wote hakika nimekumbuka mbali.
1. Sindano 5 za moto
2 Sitasahau
3. Uliza ujibiwe
4. Showtime
5. Weekend Fever
6. Mambo mambo
7. Je, huu ni uungwana
8. Ushauri wako
9. Uliza Ujibiwe
10. RFA Bonanza
11. Hakuna kulala
12. Masimulizi ya kihindi Jumapili
13. Search Line
14. Kile kipindi cha makabila
15. Je, wajua ?
16.
Hakika vizuri havidumu.
Kuna Radio ipo Kenya ime copy almost vipindi vyote vya RFA inaitwa Radio JamboRFA ilikuwa na vipindi vizuri na vilivyopangika sambamba na watangazaji waliokuwa wakitangaza vipindi vyao kwa weledi mkubwa. Kila msikilizaji alipata kipindi chakd na hakika alikifurahia.
Walikuwa na coverage kubwa sana nchi hii kwani walisikika sehemu nyingi ambazo redio nyingine hazikufika. Sijui nini kilitokea mpaka asilimia kubwa ya watangazaji kuondoka. Ila walipata attention yetu kwa kweli.
Nimeusoma uzi wote hakika nimekumbuka mbali.
1. Sindano 5 za moto
2 Sitasahau
3. Uliza ujibiwe
4. Showtime
5. Weekend Fever
6. Mambo mambo
7. Je, huu ni uungwana
8. Ushauri wako
9. Uliza Ujibiwe
10. RFA Bonanza
11. Hakuna kulala
12. Masimulizi ya kihindi Jumapili
13. Search Line
14. Kile kipindi cha makabila
15. Je, wajua ?
16.
Hakika vizuri havidumu.
J2 wana vipindi vizuri sanaRFA bado ipo ipo vizuri. Sema wameanza kuiga mambo ya promosheni za pesa sijui ushinde pesa n.k. Ila bado naikubali sana vipindi vyake, hususani Jumapili saa 11 asbh hadi saa 7 mchana
Hakika.asante sana kwa kumbukizi nzuri mheshimiwa..ulikuwa ni wakati mzuri sana
D7 has gone broWapi Sharubano Aboubakar "sherry' pamoja na DEE7 na kipindi chao cha African beats KISS fm