Hiki ni kipigo alichopata Mazrui kwenye uchaguzi uliopita Zanzibar, leo ni Waziri wa Afya! Kuna wengine hawajawahi kutolewa hata kucha na bado wanajiita wanaharakati.
View attachment 2349965hiki nikipigo alichopata mazrui kwenye uchaguzi uliopita Zanzibar Leo ni waziri wa afya Kuna wengine hawajawahi kutolewa hata kucha na bado wanajiita wanaharakati
Halafu unakuta aliyempiga akimuona Mazrui anampigia salute ndo maana Mimi Kazi zingine zisizohitaji reasoning nilizipiga chini, siwezi amriwa tu kama jibwa without reasoning
Halafu unakuta aliyempiga akimuona Mazrui anampigia salute ndo maana Mimi Kazi zingine zisizohitaji reasoning nilizipiga chini, siwezi amriwa tu kama jibwa without reasoning