Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
darasa la ngapi?[emoji23] wengine tulikuwa shule bado
kipindi hicho Ali kiba anambandua Wolper loh,bi dada kaanza kugawa longfakaKweli watu tunatoka mbali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wema akiwa bado ni MTU, maana sasa hivi haeleweki, Leo shape kama mpiraaa, kesho kama andazi, kesho kutwa kama nanasi, yaan fujo tupuuu.
Anti akiwa bado na rangi nzuriiiiiii ya kiafrica, sasa hivi ni mzungu, vurugu tupuuu
Wema akiwa bado ni MTU, maana sasa hivi haeleweki, Leo shape kama mpiraaa, kesho kama andazi, kesho kutwa kama nanasi, yaan fujo tupuuu.
Anti akiwa bado na rangi nzuriiiiiii ya kiafrica, sasa hivi ni mzungu, vurugu tupuuu
Hatari.Wema akiwa bado ni MTU, maana sasa hivi haeleweki, Leo shape kama mpiraaa, kesho kama andazi, kesho kutwa kama nanasi, yaan fujo tupuuu.
Anti akiwa bado na rangi nzuriiiiiii ya kiafrica, sasa hivi ni mzungu, vurugu tupuuu
na kipindi hiki wakati mi napambana na maisha kuna wengine wanasoma na wana dream kubwa sana kama nizokuwa nazo mimi kipindi hicho but kwenye uhalisia ndo unajua ndoto za shuleni tofauti na za mtaaniKila zama zilikua na mambo yake, wakati huo wewe unasoma na ku-reminisce hayo mambo, wenzako tulikua tayari tunapambana na maisha
Planet 2000 watoto wa Iringa wale....hii ni bab kubwa sema bab kubwa.....bab kubwaaNani Alimbaga Ule Wimbo Wa Babkubwa?
Wanaitwa planet 2000 watoto flan wa iringa.Ile pini kali sanaaNani Alimbaga Ule Wimbo Wa Babkubwa?
halafu hawakutoaga hit song tenaPlanet 2000 watoto wa Iringa wale....hii ni bab kubwa sema bab kubwa.....bab kubwaa
Watu kumbe watoto sana humu ndo maana JF inakuwa tamu sana, 2008 sasa si ten yrs ago? kumbe basi wengi humu nyerere wanamuonaga kwenye picha tu, Sasa sokoine ndo watakuuliza ndo nani huyo.