professional skeptism
Member
- Apr 10, 2017
- 25
- 18
Misingi mitano ya taaluma ya Uhasibu na Ukaguzi.
1.Uadilifu (Integrity)- Mhasibu unatakiwa kuwa muwazi na muaminifu katika maswala ya taaluma na vinavyohusiana na kazi
2.Usawa (Objectivity)- Mhasibu usiruhusu kitu chochote , upendeleo au utashi wako ukahasili kufanya maamuzi yanayohusiana na utendaji wako wa kazi
3.Uhodari na Ustadi (Professional Competence and Due Care )- Mhasibu unatakiwa kuongeza ujuzi wa taaluma na kujisomea sheria na taratibu ili kuendana na Mabadiliko yanayotokea kila siku katika taaluma na utandawazi.
4. Usiri (Confidentiality )- Mhasibu unatakiwa kuwa msiri kuhusiana na taarifa za biashara au chochote cha mteja kwa mtu mwingine (Third parties) isipokuwa kwa matakwa ya sheria au chombo kinachohusika .
5.Tabia na Mwenendo (Professional Behavior )- Mhasibu unatakiwa kuwa na mwenendo na tabia nzuri katika mazingira yoyote yale hata kama hakiusiani na kazi.
1.Uadilifu (Integrity)- Mhasibu unatakiwa kuwa muwazi na muaminifu katika maswala ya taaluma na vinavyohusiana na kazi
2.Usawa (Objectivity)- Mhasibu usiruhusu kitu chochote , upendeleo au utashi wako ukahasili kufanya maamuzi yanayohusiana na utendaji wako wa kazi
3.Uhodari na Ustadi (Professional Competence and Due Care )- Mhasibu unatakiwa kuongeza ujuzi wa taaluma na kujisomea sheria na taratibu ili kuendana na Mabadiliko yanayotokea kila siku katika taaluma na utandawazi.
4. Usiri (Confidentiality )- Mhasibu unatakiwa kuwa msiri kuhusiana na taarifa za biashara au chochote cha mteja kwa mtu mwingine (Third parties) isipokuwa kwa matakwa ya sheria au chombo kinachohusika .
5.Tabia na Mwenendo (Professional Behavior )- Mhasibu unatakiwa kuwa na mwenendo na tabia nzuri katika mazingira yoyote yale hata kama hakiusiani na kazi.