John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Na akaongeza kwa kusema kuwa Yanga wamelaaniwaKuna mchungaji katabiri huku kuwa YANGA atafungwa mechi zote yaani NJE-NDANI dhidi ya RIVERS
Yupo sahihiKuna mchungaji katabiri huku kuwa YANGA atafungwa mechi zote yaani NJE-NDANI dhidi ya RIVERS
Yupo sahihi
Uskariri mpira haupo hvyo anafungwa Liverpool 7 bayern 5 Madrid 5 ww smba nan usfungwe 5 ukiingia kwenye mfumo unakandwaSimba hii sio ya kufungwa goli tano,trust me!
Rivers Utd watoto wadogo. Kwa simba hii hata wydad wakishinda haziwezi kufika hata 4Mambo yalianza hivihivi π
View attachment 2596456