Tujikumbushe kidogo Rivers utd Vs Wyad AC

Tujikumbushe kidogo Rivers utd Vs Wyad AC

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Mambo yalianza hivihivi 😄
20230422_180749.jpg
 
Oooh mnapasuka hapo hapo kwa Mkapa. Mara oooh kama Raja aliwapiga na yeye ni mnyonge kwa Wydad, Jumamosi lazima mfe.Sasa naona mmekuja na gia nyingine tena.

Usiongee sana kuhusu sisi ukasahau kesho una game na Mito United . Mto wa maji utakuzamisha kesho, na hivi hujui kuogelea!
 
[emoji3][emoji3]

Huwa nahisi wanayanga mnaonewa ila kumbe ni nyie ndo mnazingua.

Kabla ya game ya Leo mlisema Mnyama atakufa goli nyingi tu, baada ya game mmebadiri gia angani kwa kudai Wydad huwa hatilii maanani game za away.

Mnazingua sana, ifikie stage mkubali TU kuwa Mnyama Yuko vizuri.

Acha tusubili hiyo game mnayoisemea.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom