Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Tujikumbushe: Mwaka 2008 Wasabato Masalia walitinga Airport Dar wakitaka kwenda ng'ambo wakaeneze injili bila kuwa na documents yoyote kama visa, passport, tiketi nk 😂😂😂
Nchi hii imepitia mengi sana aisee.
Nchi hii imepitia mengi sana aisee.