Tujikumbushe kidogo

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Tujikumbushe: Mwaka 2008 Wasabato Masalia walitinga Airport Dar wakitaka kwenda ng'ambo wakaeneze injili bila kuwa na documents yoyote kama visa, passport, tiketi nk πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚



Nchi hii imepitia mengi sana aisee.
 
Hawa ndio walikaa kwenye maua pale nje kwenye ile bustani karibu Na lami inayokunja pale kuingia uwanja wa ndefu kutokea kipawa? Au hili tukio nalosemea lilitangulia ,maana kumbukumbu zangu zinaniambia tukio lilifanya kabla ya 2008
 
ZA kuambiwa unachanganya na za kwako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…