TUJIKUMBUSHE: Kifo cha Rais wa Malawi wahaini sita usiku wa manane" The Midnight Six" na Njama za kutaka kumpora Urithi wa Urais Joyce Banda

kwa mazingira ya kwetu ya kutangaza kifo cha mh mama kawaacha mbali wengi sana, maana ukiangalia vizuri tangazo kalitoa bila wakuu wa vyombo na ulinzi na usalama kuwepo, na pia amelitoleo nje ya mjii mkuu dodoma/dar
Una hisi kuna link?
 
The midnight six ndo akina Sukuma Gang wa nchi moja hivi.

Naona kabisa kuna ufanano kati ya Joyce Banda na Bi Vasco kwa maana katika njia ya kuingia madarakani lakini pia ufanano katika njia ya kutoka madarakani.
 
Usalama wa taifa ndo kila kitu bro
 
The midnight six ndo akina Sukuma Gang wa nchi moja hivi.

Naona kabisa kuna ufanano kati ya Joyce Banda na Bi Vasco kwa maana katika njia ya kuingia madarakani lakini pia ufanano katika njia ya kutoka madarakani.
hahaa Bi Vasco Da Gamma
 
Vp na uyu bibie atakuja kutoka madarakani kama Joyce Banda manaa naye aliangukia pua pakubwa sana baada ya uchaguzi
 
Vp na uyu bibie atakuja kutoka madarakani kama Joyce Banda manaa naye aliangukia pua pakubwa sana baada ya uchaguzi
Kama hana Leadership Traits Kwa katiba na Katiba inatoa uhuru na haki basi anaweza kutoka.
 
The midnight six ndo akina Sukuma Gang wa nchi moja hivi.

Naona kabisa kuna ufanano kati ya Joyce Banda na Bi Vasco kwa maana katika njia ya kuingia madarakani lakini pia ufanano katika njia ya kutoka madarakani.
Ooh kumbe
 
Vp na uyu bibie atakuja kutoka madarakani kama Joyce Banda manaa naye aliangukia pua pakubwa sana baada ya uchaguzi
Kwa katiba Ipi? Huko Malawi iliwezekana kwa kuwa katiba yao ilikuqa relatively independent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…