Tujikumbushe: Kikwete - Ni wakati wa kujenga Chama imara tuache kutegemea Jeshi la Polisi kutufanyia Siasa

Tujikumbushe: Kikwete - Ni wakati wa kujenga Chama imara tuache kutegemea Jeshi la Polisi kutufanyia Siasa

NGARA one

New Member
Joined
May 29, 2021
Posts
4
Reaction score
49
Wakati Mh Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani, alituambia imefika wakati wakujenga chama Cha siasa imara kwa matakwa ya mda tulio nao tuache kutegemema jeshi la Polisi kutufanyia siasa .

Ajabu ni kwamba jambo lile lilichukuliwa km maneno tuu, ila ukweli Mchungu sana kwa sisi wana CCM jeshi la polisi limesababisha damage kubwa kwa CCM Ambayo huwezi kuirekebisha tena .

Polisi imetuhalibia sana chama chetu na inaendelea kutengeneza damage kubwa ni nani anaona hili ndani ya CCM , anaebisha afanye naye tafiti zake, asilimia kubwa ya watanzania bila kujali vyama vyao wanasema bila police hakuna CCM km huo ndio mtazamo ni wakati wa ccm lazima tuchague kutoka hapa tulipo au tuzame pamoja na untrustworthy partner wetu .
 
Wakati Mh Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani, alituambia imefika wakati wakujenga chama Cha siasa imara kwa matakwa ya mda tulio nao tuache kutegemema jeshi la Polisi kutufanyia siasa .

Ajabu ni kwamba jambo lile lilichukuliwa km maneno tuu, ila ukweli Mchungu sana kwa sisi wana CCM jeshi la polisi limesababisha damage kubwa kwa CCM Ambayo huwezi kuirekebisha tena .

Polisi imetuhalibia sana chama chetu na inaendelea kutengeneza damage kubwa ni nani anaona hili ndani ya CCM , anaebisha afanye naye tafiti zake, asilimia kubwa ya watanzania bila kujali vyama vyao wanasema bila police hakuna CCM km huo ndio mtazamo ni wakati wa ccm lazima tuchague kutoka hapa tulipo au tuzame pamoja na untrustworthy partner wetu .
Sio nyie tu mnaoona aibu, hata sisi huku Chadema tuliaminishwa kwa zaidi ya miaka 7 tena na viongozi wetu wakuu wa chama kitaifa kuwa Lowasa ni fisadi kuu na alistahili kupewa adhabu zaidi ya ile anayopewa kibaka anaechomwa moto. Lkn cha kushangaza Lowasa huyu huyu baada ya kumwaga mabilioni kwa viongozi wachache wa juu wa chama akaonekana ni mtu bora ambae anafaa kuwa raisi wa nchi hii kupitia chama chetu chadema. Kibaya zaidi na viongozi wetu wakampigia deki barabara ili awe anapita bila mushkeli. Hii hali imesababisha chama chetu kikimbiwe na watu makini wasiopenda unafiki, uongo na ujinga wa kuburuzwa buruzwa tu kama mbuzi. Kwa sasa chama kimebaki na sisi ambao tumemkabidhi mwenyekiti wetu akili atembee nazo mfukoni kwake na ndio maana hata atoe boko au kutuburuza vipi ndan ya chama tunashindwa kuhama. Siasa hii..... sina la kusema

images (11).jpeg


images (8).jpeg


images (7).jpeg
 
Wakati Mh Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani, alituambia imefika wakati wakujenga chama Cha siasa imara kwa matakwa ya mda tulio nao tuache kutegemema jeshi la Polisi kutufanyia siasa .

Ajabu ni kwamba jambo lile lilichukuliwa km maneno tuu, ila ukweli Mchungu sana kwa sisi wana CCM jeshi la polisi limesababisha damage kubwa kwa CCM Ambayo huwezi kuirekebisha tena .

Polisi imetuhalibia sana chama chetu na inaendelea kutengeneza damage kubwa ni nani anaona hili ndani ya CCM , anaebisha afanye naye tafiti zake, asilimia kubwa ya watanzania bila kujali vyama vyao wanasema bila police hakuna CCM km huo ndio mtazamo ni wakati wa ccm lazima tuchague kutoka hapa tulipo au tuzame pamoja na untrustworthy partner wetu .
Yeap!! Huo ndio ukweli! CCM wamelijiua pale walipo ruhusu Polisi kuwafanyia kila kitu!.
 
Kwahiyo Nini chakufanya ili kuepukana na hili?
 
Ndoa ya ccm na polisi inaenda kuvunjwa kabla ya 2024.
 
Sio nyie tu mnaoona aibu, hata sisi huku Chadema tuliaminishwa kwa zaidi ya miaka 7 tena na viongozi wetu wakuu wa chama kitaifa kuwa Lowasa ni fisadi kuu na alistahili kupewa adhabu zaidi ya ile anayopewa kibaka anaechomwa moto. Lkn cha kushangaza Lowasa huyu huyu baada ya kumwaga mabilioni kwa viongozi wachache wa juu wa chama akaonekana ni mtu bora ambae anafaa kuwa raisi wa nchi hii kupitia chama chetu chadema. Kibaya zaidi na viongozi wetu wakampigia deki barabara ili awe anapita bila mushkeli. Hii hali imesababisha chama chetu kikimbiwe na watu makini wasiopenda unafiki, uongo na ujinga wa kuburuzwa buruzwa tu kama mbuzi. Kwa sasa chama kimebaki na sisi ambao tumemkabidhi mwenyekiti wetu akili atembee nazo mfukoni kwake na ndio maana hata atoe boko au kutuburuza vipi ndan ya chama tunashindwa kuhama. Siasa hii..... sina la kusema

View attachment 1881010

View attachment 1881011

View attachment 1881012
Nje ya mada anzisha Uzi wako
 
Back
Top Bottom