Tujikumbushe kuhusu katuni ya masudi kipanya na bashe

Tujikumbushe kuhusu katuni ya masudi kipanya na bashe

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Masoud kipanya ni moja ya watu wenye jicho la tatu wanaotumia katuni kujenga ujumbe na kuona mbele kuhusu hii nchi.

Mimi ni mpezi wa katuni za masoud kipanya na kila ukizirudia unaona zimebeba ujumbe unaofika mpaka leo.
Kuna kipindi fulani masoud alitoa kumuhusu huyu bashe na kumbuka kipindi kile bashe alikuwa wa moto sana mpaka kutoa mawazo ya kufikisha mbali nchi. Ila ndio hiyo ukishapewa utamu wa kufikisha nchi tu, leo kabeba ufisadi ambao bungeni umewaka moto na swala la sukari.
knkjandslkjdljasldjalsjdlksaj.jpg
 
Mtoto alikuwa na njaa alipiga kelele sana, mtoto alipopewa maziwa anakunywa kwa raha zake hapigi kelele tena
 
Hyo picha ya kwanza ilibidi awe kakonda kidogo ionekane njaa ndo ilikuwa inamsumbua.
 
Back
Top Bottom