Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kuna siku nimekaa mahali nikamsikia dogo mmoja anaongea kuhusu uzembe wa mabroo nilicheka sana, nikatulia nilikua na jamaa yangu akanigusa akaniuliza tumsanue au tuache muda utamsanua, nikamwambia tumpotezee.Kuna ile akili inakufanya unaona kama mabro kitaaa wanazingua hawapo aggressive kusaka pesa dadeq maliza sasa unajikuta unakua mpole tu
Huyo unamwacha kwanza siku anatoka chuo hana hata nauli ndo anakuja kuelewa... dharau inaanzaga pale umepata course flan za 1.7, 1.8 au 1.9 advance 🤣 unaanza kuwaambia watu uzuri wa hii course unaajiriwa popote bwana weeee mtiti unaanza kupata field tuKuna siku nimekaa mahali nikamsikia dogo mmoja anaongea kuhusu uzembe wa mabroo nilicheka sana, nikatulia nilikua na jamaa yangu akanigusa akaniuliza tumsanue au tuache muda utamsanua, nikamwambia tumpotezee.
Utoto raha sana unakuwa na expectations kuuuubwa mno ila uhalisia unakuambia we mbwa tutakuua 😂Huyo unamwacha kwanza siku anatoka chuo hana hata nauli ndo anakuja kuelewa... dharau inaanzaga pale umepata course flan za 1.7, 1.8 au 1.9 advance 🤣 unaanza kuwaambia watu uzuri wa hii course unaajiriwa popote bwana weeee mtiti unaanza kupata field tu
maisha ni popote ni kheri uliamua kuwa na raha maisha ya chuo kuliko wengine waliamua wajikaze ili wapate ma gpa makubwa alafu kazi hakuna dhiki mara mbili chuo na kitaa.Mi mkongwe sana humu jf ila ndo hvyo,mambo ya ID tena okay iko hiv
Mi nilisoma hapo udsm, miaka hyo ya 2009-13
Aisee ni moja ya vijana tuliopata matokeo mazur 6,sio TO lakin.
Ila ni kijana niliotoka na GPA ndogo kinoma ila sio kesi...
Siko bongo mwaka wa 4+ huu..niko ughaibun..
Ni hiv..mim ni moja ya walioenda chuo kukua na sio kusoma..ingawa ni genius najijua ila nilichoka u john kisomo..toka primary mi ni GradeA student.
Enewei
Nmekula bata sana chuo wadau..saaana.
Niliishi main campus first year, moja ya yale ma hall maref (4 /5) stak sema lip wadau watacrack bure.
Then nkaenda bibo, then nkakaa uswaz from 3rd yr to 4th yr..pika pakua na demu wangu aisee.
Hakuna kijiwe cha kitimoto tusichokijua, halaf ilikua couple maaruf chuo pale kuanzia chocho za survey. Changanyiken, bibo, mwenge, sinza meeda kule, ambienga, kuku wa ambiance ile ya enz zile si mchezo.
Kiufup yule dem nilikua kama nimeoa (ni X sasa kaolewa ila ukiona chat zetu had leo unaweza pata heart attack kama ni mumewake) anyway Ma X huwa hiv sometime.(Off point)
Club sasa
1. Savanah, moja iko posta nyingne iko quality centre.
2. Maisha club
3. Bills
4. Sansiro kamanyola pale sinza si mchezo.
5. Suncity, nadhan kigambon ile,.wet n wild, kiota, koko, beach mavi za mikochen zile na msasani,kawe beach mamamamaaaa hapa ndo hatar..enzi hzo sio kidimbwi hii mnaenda skuhiz, silversands
6. Mbalamwezi
7. Katalunya
8. Etc etc etc
Nyie yale maisha si mchezo.
Sjawai kosa sup miaka yote mi4
Cant complain, maisha ndo haya haya ndugu zangu.
Sasa hiv nabeba box huku maisha yanasonga.
🤣🤣Unakuta mtu anawaza makubwa kumbe future yake inatimizika kariakoo hata bila elimu kubwaUtoto raha sana unakuwa na expectations kuuuubwa mno ila uhalisia unakuambia we mbwa tutakuua 😂
😂 kariakoo na kuheshimiwe bila kusahau viwandani, mabarabarani na boda na bajaji.🤣🤣Unakuta mtu anawaza makubwa kumbe future yake inatimizika kariakoo hata bila elimu kubwa
Usipotaja machinga complex ulichoandika hakina maana😂 kariakoo na kuheshimiwe bila kusahau viwandani, mabarabarani na boda na bajaji.
Ongeza na hiyoUsipotaja machinga complex ulichoandika hakina maana
Field ujui unaenda wap..Huyo unamwacha kwanza siku anatoka chuo hana hata nauli ndo anakuja kuelewa... dharau inaanzaga pale umepata course flan za 1.7, 1.8 au 1.9 advance 🤣 unaanza kuwaambia watu uzuri wa hii course unaajiriwa popote bwana weeee mtiti unaanza kupata field tu
Dr unaweza piga kazi yako hiyo uliyosomea kwa mda fulani na bado ukapata mda wa kubeba box , kuchangia damu kwa malipo na kutunza wazee ,ni wewe tu ujiamulie .Hapo sawa vipi nipige mazoezi nitoe kitambi nije huko maana nasikia box zinataka manguvu mengi ni hivi ni kweli nigga ?
Samahani Dr, ni Ku Chat.Kuhusu Kuchart na X wako hiyo kawaida
Jukwaa la kila mtu ni mnin'giniza funguo kiunoni..Mtu akiwa mgeni jf anaweza dhani kinachoongelewa ni maisha ya chuo kweli
Sometimes chuo uwa na miss bata tu hila masomo yale hapana nilikuwa nikipata boom tu huyo town Samaki samaki na starpark ngoma inarudi mapema asubuh