Tujikumbushe maisha ya chuo wadau

Tujikumbushe maisha ya chuo wadau

Kuna ile akili inakufanya unaona kama mabro kitaaa wanazingua hawapo aggressive kusaka pesa dadeq maliza sasa unajikuta unakua mpole tu
Kuna siku nimekaa mahali nikamsikia dogo mmoja anaongea kuhusu uzembe wa mabroo nilicheka sana, nikatulia nilikua na jamaa yangu akanigusa akaniuliza tumsanue au tuache muda utamsanua, nikamwambia tumpotezee.
 
Nilikuwa naishi chumba namba 412 floor ya saba hall two. Wakati huo lift ilikuwa mbovu ni kupanda kwa ngazi! Nikapeleka manzi room kwangu kachoka kinoma kupanda ngazi sikutumia nguvu mana tayari ule uchovu wa ngazi ulimuweka sawa!
 
Kuna siku nimekaa mahali nikamsikia dogo mmoja anaongea kuhusu uzembe wa mabroo nilicheka sana, nikatulia nilikua na jamaa yangu akanigusa akaniuliza tumsanue au tuache muda utamsanua, nikamwambia tumpotezee.
Huyo unamwacha kwanza siku anatoka chuo hana hata nauli ndo anakuja kuelewa... dharau inaanzaga pale umepata course flan za 1.7, 1.8 au 1.9 advance 🤣 unaanza kuwaambia watu uzuri wa hii course unaajiriwa popote bwana weeee mtiti unaanza kupata field tu
 
Huyo unamwacha kwanza siku anatoka chuo hana hata nauli ndo anakuja kuelewa... dharau inaanzaga pale umepata course flan za 1.7, 1.8 au 1.9 advance 🤣 unaanza kuwaambia watu uzuri wa hii course unaajiriwa popote bwana weeee mtiti unaanza kupata field tu
Utoto raha sana unakuwa na expectations kuuuubwa mno ila uhalisia unakuambia we mbwa tutakuua 😂
 
Vyuo gani mlisoma nyie..

9d407b7feb76a616b30e6014ed0e793b.jpg
 
Mi mkongwe sana humu jf ila ndo hvyo,mambo ya ID tena okay iko hiv

Mi nilisoma hapo udsm, miaka hyo ya 2009-13

Aisee ni moja ya vijana tuliopata matokeo mazur 6,sio TO lakin.
Ila ni kijana niliotoka na GPA ndogo kinoma ila sio kesi...

Siko bongo mwaka wa 4+ huu..niko ughaibun..

Ni hiv..mim ni moja ya walioenda chuo kukua na sio kusoma..ingawa ni genius najijua ila nilichoka u john kisomo..toka primary mi ni GradeA student.

Enewei

Nmekula bata sana chuo wadau..saaana.

Niliishi main campus first year, moja ya yale ma hall maref (4 /5) stak sema lip wadau watacrack bure.

Then nkaenda bibo, then nkakaa uswaz from 3rd yr to 4th yr..pika pakua na demu wangu aisee.

Hakuna kijiwe cha kitimoto tusichokijua, halaf ilikua couple maaruf chuo pale kuanzia chocho za survey. Changanyiken, bibo, mwenge, sinza meeda kule, ambienga, kuku wa ambiance ile ya enz zile si mchezo.

Kiufup yule dem nilikua kama nimeoa (ni X sasa kaolewa ila ukiona chat zetu had leo unaweza pata heart attack kama ni mumewake) anyway Ma X huwa hiv sometime.(Off point)

Club sasa
1. Savanah, moja iko posta nyingne iko quality centre.

2. Maisha club
3. Bills
4. Sansiro kamanyola pale sinza si mchezo.
5. Suncity, nadhan kigambon ile,.wet n wild, kiota, koko, beach mavi za mikochen zile na msasani,kawe beach mamamamaaaa hapa ndo hatar..enzi hzo sio kidimbwi hii mnaenda skuhiz, silversands
6. Mbalamwezi
7. Katalunya
8. Etc etc etc

Nyie yale maisha si mchezo.

Sjawai kosa sup miaka yote mi4

Cant complain, maisha ndo haya haya ndugu zangu.

Sasa hiv nabeba box huku maisha yanasonga.
maisha ni popote ni kheri uliamua kuwa na raha maisha ya chuo kuliko wengine waliamua wajikaze ili wapate ma gpa makubwa alafu kazi hakuna dhiki mara mbili chuo na kitaa.
 
kitambo sana ila chuo niliishi maisha ya ajabu na sitokaa ni regret

First year nilianza kama mtawa vile sem ya kwanza

Sem ya pili ilikua kitanda changu usiku weekend hakina mtu

Tuliingia viwanja vya kila eneo
Watu hadi wakipiga deals wanahama mkoa
😂😂😂
Mpaka leo ile circle nikiikumbuka nawatafuta mmoja mmoja

Cha kushangaza wengi walivomaliza hawakufocus na ajira
Nahisi walijua tu kukimbizana na boss huku unapenda uhuru haitowezekana
 
Back
Top Bottom