Tujikumbushe majina maarufu ya utani ya baadhi ya wachezaji wa zamani

Ball Juggler
Rungu
...
....
 
Steven Mapunda jamaa alikua hazeeki ni kama "uncle" NGASA......
 
" Bana" - Yusuph Ismail

" Minziro" - Fredy Felix aka Baba Isaya
Juma Amir- Pele wa Mwanza
Said Mrisho - zicco wa kilosa
Ramadhan leny - Abega
Samli Ayubu - Beki mstaarabu
Juma Mkambi - General
Charles Mkwasa - Master
Fred Minziro - Baba Isaya
Ezekiel Greyson - Jujuman
Roster Ndunguru - Toto tundu
 
Kitambo sana
Juma Amir- Pele wa Mwanza
Said Mrisho - zicco wa kilosa
Ramadhan leny - Abega
Samli Ayubu - Beki mstaarabu
Juma Mkambi - General
Charles Mkwasa - Master
Fred Minziro - Baba Isaya
Ezekiel Greyson - Jujuman
Roster Ndunguru - Toto tundu
 
Majina yake halisi ni GEORGE MAGERE! Hiyo MASATU (aina ya samaki wa victoria) ndio aka yake ambayo na yenyewe sio ya kimpira!

Pale kota za "relwe" Mwanza, babake alikiwa guru wa kuvua samaki "Masatu" Na alikuwa mtu mwema kiasi anagawa samaki hadi kwa majirani!

Basi majirani wakambatiza "Mzee Masatu" Na hatimaye jina likaenda kwa mtoto pia!
Hivi George Masatu hakuwa na A.K.A...!!
 
Hebu naomba ufafanuzi wa hila zangu kisha niambie niombe radhi kwa lipi... Muaibishe shetani fanya hivyo sasa
safi sana mkuu umenikumbusha wakati nchi ina heshima na adabu,ona sasa watoto hawa wa Face book hawana hata staha ,eti mtu anapost watu wengi humu wanamdharau..but kwa utafiti gani na nani kampa usemaji wa members humu ?,mkuu comments kama hizi usipoteze muda wako kuzijibia,wengi wao ni wanajifanya ni middle class walioenea kimaisha kisa wanauwezo wa kuweka kipande cha mkate mezani !!!.
 
Juma limonga stop engine
Ali malilo kidudu mtu
Iddi Suleiman kibode (keyboard )
Iddi Suleiman nyigu
Jimmy mored "moo"
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…