Tujikumbushe majina maarufu ya utani ya baadhi ya wachezaji wa zamani

Tujikumbushe majina maarufu ya utani ya baadhi ya wachezaji wa zamani

Ni goalkeeper! Pia alidakia RELI Morogoro!
Unachanganya dancun mwamba aliyekuwa nyanda wa wagosi wa kaya na dancun butinini mshambuliaji wa reli ya moro ambae ukoo wao wa kimichezo alikuwa na dada yake jeni butinini hodari sana wa mpira wa pete mpaka akaimbwa na tancut almasi waqt umekwenda wapi!
 
Sijachanganya Mkuu. DUNCAN MWAMBA na DUNCAN BUTININI wote wamechezea RELI Morogoro kwa wakati mmoja! DUNCAN BUTININI alikuwa WINGER - anakimbia VIWIKO JUU, Mabeki walipata tabu sana kumkaba! BUTININI alicheza RELI sambamba na Baba Mkubwa wa Kelvin Yondan (Mbuyi Yondan)

DUNCAN MWAMBA alidakia RELI akiwa goalkeeper namba 2 baada ya ATHUMAN MSOMALI (kwa sasa ni staff YONO AUCTION)

Mabeki wa RELI walikuwa Bakari Tutu, Gaspar Lupindo, Mohammed Mtono, Madundo Mtambo (Prof. SUA), Fikiri Mohammed Magoso na Habib Kondo!

Sad story ni kwamba BUTININI alishafariki!

Unachanganya dancun mwamba aliyekuwa nyanda wa wagosi wa kaya na dancun butinini mshambuliaji wa reli ya moro ambae ukoo wao wa kimichezo alikuwa na dada yake jeni butinini hodari sana wa mpira wa pete mpaka akaimbwa na tancut almasi waqt umekwenda wapi!
 
Sijachanganya Mkuu. DUNCAN MWAMBA na DUNCAN BUTININI wote wamechezea RELI Morogoro kwa wakati mmoja! DUNCAN BUTININI alikuwa WINGER - anakimbia VIWIKO JUU, Mabeki walipata tabu sana kumkaba! BUTININI alicheza RELI sambamba na Baba Mkubwa wa Kelvin Yondan (Mbuyi Yondan)

DUNCAN MWAMBA alidakia RELI akiwa goalkeeper namba 2 baada ya ATHUMAN MSOMALI (kwa sasa ni staff YONO AUCTION)

Mabeki wa RELI walikuwa Bakari Tutu, Gaspar Lupindo, Mohammed Mtono, Madundo Mtambo (Prof. SUA), Fikiri Mohammed Magoso na Habib Kondo!

Sad story ni kwamba BUTININI alishafariki!
Duncan mwamba alikua kipa namba mmoja wa African Sports ya Tanga, Jamaa akiwa uwanjani anavaa tracksuit full juu anavaa kapelo, alikua na mbwembwe na ata Peter Manyika alivyokua Yanga nadhani uvaaji wake na mbwembwe zake alikua kakopi kwa Duncan Mwamba. Sina uhakika kama baadae alichezea reli. Maana Duncan kadaka Sports miaka ya mwishoni mwa 80 na Reli imepanda manzoni mwa miaka ya 90.
 
Alidakia timu zote 2! alianzia AFRICAN SPORTS kisha RELI!
Duncan mwamba alikua kipa namba mmoja wa African Sports ya Tanga, Jamaa akiwa uwanjani anavaa tracksuit full juu anavaa kapelo, alikua na mbwembwe na ata Peter Manyika alivyokua Yanga nadhani uvaaji wake na mbwembwe zake alikua kakopi kwa Duncan Mwamba. Sina uhakika kama baadae alichezea reli. Maana Duncan kadaka Sports miaka ya mwishoni mwa 80 na Reli imepanda manzoni mwa miaka ya 90.
 
Sijachanganya Mkuu. DUNCAN MWAMBA na DUNCAN BUTININI wote wamechezea RELI Morogoro kwa wakati mmoja! DUNCAN BUTININI alikuwa WINGER - anakimbia VIWIKO JUU, Mabeki walipata tabu sana kumkaba! BUTININI alicheza RELI sambamba na Baba Mkubwa wa Kelvin Yondan (Mbuyi Yondan)

DUNCAN MWAMBA alidakia RELI akiwa goalkeeper namba 2 baada ya ATHUMAN MSOMALI (kwa sasa ni staff YONO AUCTION)

Mabeki wa RELI walikuwa Bakari Tutu, Gaspar Lupindo, Mohammed Mtono, Madundo Mtambo (Prof. SUA), Fikiri Mohammed Magoso na Habib Kondo!

Sad story ni kwamba BUTININI alishafariki!
Athman msumali nyanda mrefu maji ya kunde mbavu zilikuwa za mkali abdallah na mohamed mtono chembamba hivi hapo kati kama ulivyosema huko mbele ndo akina njohole na hamad said masenga mbui na david mihambo ali malilo aah waqt umekwenda wapi?
 
Majina maarufu ya utani ya baadhi ya wachezaji wa zamani.

"Golden Boy" - Zamoyoni Mogella
"Sikinde" - Celestine Mbunga
"Kizota" - Said Mwamba
"Kwasakwasa" - Jobe Ayubu
"Bwalya" - Frank Kassanga
"Loketo" - Ally Malilo
"Gazza" - George Lucas
"Father" - Iddi Pazi
"Sure Boy" - Abubakar Salum
"Power Iranda" - Willy Martin
"OCD" - Deo Njohole
"Tekelo" - Abeid Mziba
"Tanzania One"- Mohamed Mwameja
"Careca" - Razak Yusuph.
"MP" - David Mwakalebela
"Edo Boy" - Edward Chumila
"Scud" - Said Sued
"Tostao" - Mohamed Yaya
"Tall" - Mohamed Bakari
"Gagarino" - Hamis Gaga
"Bruce Lee" - Daudi Salum
"Ninja" - Salum Kabunda
"Mkulima" - Rashid Mandanje
"Meya" - Iddi Suleiman
"Boban" - Haruna Moshi
"Nylon" - Michael Paul
"Gari Kubwa" - Peter Lupokela
"ZigZag" - John Makelele
"Ball Juggler" - Malota Soma
"Beki Mstaarabu" - Samli Ayubu
"Mmachinga " - Mohamed Hussein
"Road Master" - Itutu Kiggy
"Homa ya Jiji" - Makumbi Juma
"Tostao" - Mohamed Yahaya
"Sungura" - Abbas Dilunga
"Popat" - Kitwana Manara
"Machela" - Mohamed Kajole
"Chama" - Rashid Iddi
"Wikens" - Boi Iddi
"Jogoo" - Athuman Chama
"Fongo" - Edgar Mwafongo
"Mensah" - Juma Pondamali
"Polisi" - Silvatus Ibrahim
"Kiminyio" - Madaraka Selemani
"Bolizozo" - James Tungaraza
"Kidishi" - Juma Bakari
"RP" - Raphael Paul
"Fundi" - Method Mogella
"Tingisha" - Sanifu Lazaro
"Scania" - Godwin Aswile
"Msingida" - Rajab Rashidi
"Musso" - Yusuph Macho
"Noriega au Nyigu" - Twaha Hamidu
"Jenerali" - Juma Mkambi
"Jembe Ulaya" - Bakari Malima
"Zico wa Kilosa" - Said Mrisho
"Computer" - Sunday Manara
"Dalii Kimoko" - Mwanamtwa Kihwelo
"Uncle Tom" - Thomas Kipese
"Carlos" - Salum Mwinyimkuu
"Nyoka Mweusi" - Elias Michael
"Tigana" - Ally Yusuph
"Best" - George Kulagwa
"Golota" - Joseph Kaniki
"Mnyamwezi" - Iddi Moshi
"Tembele" - Ally Mayai
"SMG" - Said Maulid
"Shilton" - Mahmoud Nyalusi
"Ball Dancer" - Mao Mkami
"Romario" - Maalim Saleh
"Jujuman" - Ezekiel Grayson
"Nyumba" - Victor Costa
"Garrincha" - Steven Mapunda
"Keegan"- Omari Hussein
"Chukwu" - Isihaka Hassan
"Fuso" - Shadrack Nsajigwa
"Kakoko" - Juma Burhani
"Mashine"- Abdul Ramadhan
"Rungu"- Nteze John
"Napil"- Abou Yasin
"Road Master"- Itutu Kigi
"Mtekele"- Justine Nicodemus
"China"- Athuman Abdalah
"Kocha-Mchezaji"- Hassan Afif
Best maridadi- Venance mwakalukwa

Kwa wale tulioanza kufuatilia soka miaka mingi iliyopita, karibu utukumbushe majina ya wengine ambao nimewasahau.

Je, mchezaji yupi unamkumbuka vema na ulikuwa ukimkubali kwa kiwango chake?
Leo nimekutana na ALLY MALILO "loketo"

Hakika nimefurahi sana na tumekumbushana mengi ua miaka ya mwanzoni ya 90......

LONG LIVE BONGO SOKA
 
Majina maarufu ya utani ya baadhi ya wachezaji wa zamani.

"Golden Boy" - Zamoyoni Mogella
"Sikinde" - Celestine Mbunga
"Kizota" - Said Mwamba
"Kwasakwasa" - Jobe Ayubu
"Bwalya" - Frank Kassanga
"Loketo" - Ally Malilo
"Gazza" - George Lucas
"Father" - Iddi Pazi
"Sure Boy" - Abubakar Salum
"Power Iranda" - Willy Martin
"OCD" - Deo Njohole
"Tekelo" - Abeid Mziba
"Tanzania One"- Mohamed Mwameja
"Careca" - Razak Yusuph.
"MP" - David Mwakalebela
"Edo Boy" - Edward Chumila
"Scud" - Said Sued
"Tostao" - Mohamed Yaya
"Tall" - Mohamed Bakari
"Gagarino" - Hamis Gaga
"Bruce Lee" - Daudi Salum
"Ninja" - Salum Kabunda
"Mkulima" - Rashid Mandanje
"Meya" - Iddi Suleiman
"Boban" - Haruna Moshi
"Nylon" - Michael Paul
"Gari Kubwa" - Peter Lupokela
"ZigZag" - John Makelele
"Ball Juggler" - Malota Soma
"Beki Mstaarabu" - Samli Ayubu
"Mmachinga " - Mohamed Hussein
"Road Master" - Itutu Kiggy
"Homa ya Jiji" - Makumbi Juma
"Tostao" - Mohamed Yahaya
"Sungura" - Abbas Dilunga
"Popat" - Kitwana Manara
"Machela" - Mohamed Kajole
"Chama" - Rashid Iddi
"Wikens" - Boi Iddi
"Jogoo" - Athuman Chama
"Fongo" - Edgar Mwafongo
"Mensah" - Juma Pondamali
"Polisi" - Silvatus Ibrahim
"Kiminyio" - Madaraka Selemani
"Bolizozo" - James Tungaraza
"Kidishi" - Juma Bakari
"RP" - Raphael Paul
"Fundi" - Method Mogella
"Tingisha" - Sanifu Lazaro
"Scania" - Godwin Aswile
"Msingida" - Rajab Rashidi
"Musso" - Yusuph Macho
"Noriega au Nyigu" - Twaha Hamidu
"Jenerali" - Juma Mkambi
"Jembe Ulaya" - Bakari Malima
"Zico wa Kilosa" - Said Mrisho
"Computer" - Sunday Manara
"Dalii Kimoko" - Mwanamtwa Kihwelo
"Uncle Tom" - Thomas Kipese
"Carlos" - Salum Mwinyimkuu
"Nyoka Mweusi" - Elias Michael
"Tigana" - Ally Yusuph
"Best" - George Kulagwa
"Golota" - Joseph Kaniki
"Mnyamwezi" - Iddi Moshi
"Tembele" - Ally Mayai
"SMG" - Said Maulid
"Shilton" - Mahmoud Nyalusi
"Ball Dancer" - Mao Mkami
"Romario" - Maalim Saleh
"Jujuman" - Ezekiel Grayson
"Nyumba" - Victor Costa
"Garrincha" - Steven Mapunda
"Keegan"- Omari Hussein
"Chukwu" - Isihaka Hassan
"Fuso" - Shadrack Nsajigwa
"Kakoko" - Juma Burhani
"Mashine"- Abdul Ramadhan
"Rungu"- Nteze John
"Napil"- Abou Yasin
"Road Master"- Itutu Kigi
"Mtekele"- Justine Nicodemus
"China"- Athuman Abdalah
"Kocha-Mchezaji"- Hassan Afif
Best maridadi- Venance mwakalukwa

Kwa wale tulioanza kufuatilia soka miaka mingi iliyopita, karibu utukumbushe majina ya wengine ambao nimewasahau.

Je, mchezaji yupi unamkumbuka vema na ulikuwa ukimkubali kwa kiwango chake?

Wakati ni ukuta, asilimia kubwa hawa nimewashuhudia live!! Sahau Kambi hakuwa na nick name??
 
Back
Top Bottom