Tujikumbushe Majina Ya Utani Simba na Yanga.

Tujikumbushe Majina Ya Utani Simba na Yanga.

Kwa kuwa mi ni mnazi wa Yanga nitayataja ya Simba tu wengine mtayataja ya Yanga.

1. Mnyama fc

2. Mikia fc.

3. Mbumbumbu fc

4. Sangoma fc ( Nasikia hii timu ilianzishwa na mganga wa kienyeji)

5. Madela fc

6. Underdog fc

7. Malalamiko Fc

8. Mezani fc

9. Fifa fc.

10.....
Umesahau Wamatopeni...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baridiii Fc
Mbutembute
Migongo wazi
Makwasukwasu
Omba Omba FC
Bakuli Fc
Tumepuliziwa dawa Fc
Kandambili
Chura
Mke wa Simba according to Township Rollers
Kipusa FC
Matonya Fc
Matikiti FC
 
Back
Top Bottom