Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Hilo Sangoma FC ndio asili yao,maana kila match ya Kimataifa lazima wamtoe kafara kiongozi wao mmoja. Match ya Nkana waliomtoa kafara yule wa Keko match ya Waarabu Koko walimtoa kafara wa Mwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
As long kama dumba inawasaidia poa tu
Sent using Jamii Forums mobile app