Tujikumbushe Majina ya wabunge wa zamani

Sebastian Lukiza Kinyondo Lutilutungenyama, Kalinjuma,Kemikimba, Zimbile
 
Ngunangwa (RIP), Lutaraka, Anne Makinda, Chief Adam Sapi Mkwawa(RIP), Piusi Msekwa, Ukiwaona Ramadhani Ditopile Mzuzuri (RIP), Kuna yule mbunge wa ileje na waziri wa fedha enzi za mwinyi alikataa kuidhinisha pesa za mahujaji,
 
M

Major Kasanda TBR kaskazini
Bujiku Sakila -Kwimba
 
Ngunangwa (RIP), Lutaraka, Anne Makinda, Chief Adam Sapi Mkwawa(RIP), Piusi Msekwa, Ukiwaona Ramadhani Ditopile Mzuzuri (RIP), Kuna yule mbunge wa ileje na waziri wa fedha enzi za mwinyi alikataa kuidhinisha pesa za mahujaji,
Huyu cha ubishi mwenye msimamo wa kulinda maslahi ya nchi badala ya dini alitwa Steven Kibona Mbunge wa Ileje
 
Agustino Lyatonga Mrema, Mtungirey, Marmo, Jakson Makweta, Wilbrod Silaa,
 
Shibiriti- Misungwi , John Cheyo- Bariadi, Chediel Mgonja- Same, Elinawinga-Hai, Lucy Lameck- Moshi, Kate Kamba, Thabitg Siwale,Edward Barongo-Bukoba, Herman Kirigini, Basil Mramba , Jakaya Kikwete, Abdalah Natepe, n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…