Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alfred gewe
" Tumefanya general attachement tumegundua kwamba"-Afred Tibaigana
Kuna kamanda alikuwa nooma pale mbeya alikuwa anaitwa..dah nimesahau
Kuna kamanda alikuwa nooma pale mbeya alikuwa anaitwa..dah nimesahau
James kombe-arusha
Tiba jembe!ila kuna viaskari vidogo vilitisha sana uswahilini!!!MKAMASHAPU,TEKELO na JITI LA MUHOGO!pande za DSM,pale ujiji m'nyamala kulikuwa na DAVE!sasa hivi kuna pimbi mmoja Kinondoni wa kuitwa SWAI!
alikuwa arusha,anakumbukwa kwa kuteketeza watoto sita wa vigogo arusha.sio siri jamaa aliiweza arushahivi Mahita kabla ya kuwa IGP alikuwa rpc mkoa gani!???
Rashid Hemed-Dom.
kumbukumbu nzuri mkuu,tusiwakumbuke wakubwa tu,na hapa magomeni makuti yule askari maarufu alikuwa naitwa nani vile?Tiba jembe!ila kuna viaskari vidogo vilitisha sana uswahilini!!!MKAMASHAPU,TEKELO na JITI LA MUHOGO!pande za DSM,pale ujiji m'nyamala kulikuwa na DAVE!sasa hivi kuna pimbi mmoja Kinondoni wa kuitwa SWAI!