Tujikumbushe Makamanda wa Polisi waliovuma enzi hizooo...

Tujikumbushe Makamanda wa Polisi waliovuma enzi hizooo...

Kuna kamanda alikuwa nooma pale mbeya alikuwa anaitwa..dah nimesahau
 
Tiba jembe!ila kuna viaskari vidogo vilitisha sana uswahilini!!!MKAMASHAPU,TEKELO na JITI LA MUHOGO!pande za DSM,pale ujiji m'nyamala kulikuwa na DAVE!sasa hivi kuna pimbi mmoja Kinondoni wa kuitwa SWAI!
 
Tiba jembe!ila kuna viaskari vidogo vilitisha sana uswahilini!!!MKAMASHAPU,TEKELO na JITI LA MUHOGO!pande za DSM,pale ujiji m'nyamala kulikuwa na DAVE!sasa hivi kuna pimbi mmoja Kinondoni wa kuitwa SWAI!

nasikia pale magomen polisi kuna mwanadada anaitwa cinthia..balaaa kwelikweli
 
Tiba jembe!ila kuna viaskari vidogo vilitisha sana uswahilini!!!MKAMASHAPU,TEKELO na JITI LA MUHOGO!pande za DSM,pale ujiji m'nyamala kulikuwa na DAVE!sasa hivi kuna pimbi mmoja Kinondoni wa kuitwa SWAI!
kumbukumbu nzuri mkuu,tusiwakumbuke wakubwa tu,na hapa magomeni makuti yule askari maarufu alikuwa naitwa nani vile?
 
Back
Top Bottom