Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo simkumbuki mkuu!maeneo ya kino kuna bonge mmoja linaitwa KABILA na mwenzake MAKOMEO hawa bado wanasumbua ila hawana bei wakikutia mikononi sometimes hata sound wanaweza kukuachia...kumbukumbu nzuri mkuu,tusiwakumbuke wakubwa tu,na hapa magomeni makuti yule askari maarufu alikuwa naitwa nani vile?
kuna makamanda wa polisi wa mikoa waliovuma sana enzi zao za utumishi Jeshini kwa kupambana na uhalifu. Mmoja wapo ni, Venance Tossi.
Tukumbushe wengne unaowajua.
we unamuongelea Kova nini?? Maana aliikontroo vyema mbeya
Yule aliyesema JF ni ya watoto aje aone sasa.
Tiba jembe!ila kuna viaskari vidogo vilitisha sana uswahilini!!!MKAMASHAPU,TEKELO na JITI LA MUHOGO!pande za DSM,pale ujiji m'nyamala kulikuwa na DAVE!sasa hivi kuna pimbi mmoja Kinondoni wa kuitwa SWAI!
kamanda chico -kilimanjaro na mtandao wao wa majambazi kuiba kwenye mabank wakiongozwa na mkuu wao igp mahita
alikuwa arusha,anakumbukwa kwa kuteketeza watoto sita wa vigogo arusha.sio siri jamaa aliiweza arusha
paul ntobi , mara
- David Daud
- Mgema
-Juma Ng'wanang'aka!
-Tryphone Maji.
MkamaShapu huyu wa JF ama?Tiba jembe!ila kuna viaskari vidogo vilitisha sana uswahilini!!!MKAMASHAPU,TEKELO na JITI LA MUHOGO!pande za DSM,pale ujiji m'nyamala kulikuwa na DAVE!sasa hivi kuna pimbi mmoja Kinondoni wa kuitwa SWAI!
MkamaShapu huyu wa JF ama?