java script
Member
- Jan 31, 2017
- 57
- 37
balo RPC mwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wanaowajua hao ma RPC humu ni wahalifusimjui hata mmoja kwasababu sio mtu wa karibu nao sana
Inspector sanya mbeya ye alikuwa ukipelekwa kwa issue ya ujambaz unalimwa risasi anakuambia nenda lakin hufik mbali alikomesha ujambazi mkoan mbeyaDetective Cpl Nkwabi- Kigoma mjini.
Alikuwa hatari sana huyu mtu hata uwe na vidono mwili mzima huchomoki kwake.
Detective Sunday aka Kama Dog- Kasulu mjini weka mbali na majambazi.
A/Insp Julius aka Ras alpha & omega kwa any Criminals..
RPC Majialfred gewe
afande Rashid Hemed na Gumbo wa Dodoma cityRPC Maji
afande ngungurikuna makamanda wa polisi wa mikoa waliovuma sana enzi zao za utumishi Jeshini kwa kupambana na uhalifu. Mmoja wapo ni, Venance Tossi.
Tukumbushe wengne unaowajua.
Huyo alipata kashfa ya wife wake kula pesa za vijana ili waingie CCP na ilifuatiliwa sana na magazeti ya enzi yakiwa na akiliKuna ka ukweli fulani.
Isipokuwa huyo Venance Tossi.
Mana nadhani ndiye aliyepunguza suala la ujambazi Kilimanjaro na utekaji wa mabasi mkoa wa Kagera baada ya kukataa kushirikiana na mitandao ya waovu.
Huyu jamaa hana mali zinazozidi kipato chake.
Tofauti na hao wengine. Wengine kwa kweli bado Wanatia shaka za kiuadilifu kulingana na mali walizojilimbikizia.
kamanda Suzan Kagandabalo RPC mwanza
NMB na NBC zilivamiwa sanaKamanda Chico -Kilimanjaro na mtandao wao wa majambazi kuiba kwenye mabank wakiongozwa na mkuu wao IGP Mahita
Huyu alifariki 2019Laurian Sanya?
kumbe wee dada wa zamani sana humu una watoto wangapi tafadhali hasa wa kikeMtana-Mwanza