MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Tumefanyaje[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]Kujiepusha na mademu wa JF.
JF hakuna mademu kuna wakulungwa wenzetu humu.Kujiepusha na mademu wa JF.
Mwambie huyoJF hakuna mademu kuna wakulungwa wenzetu humu.
Mmekubuhu na age go😂Tumefanyaje[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Duh kukubuhu kwenye nini mkuuMmekubuhu na age go😂
7. Kuabudu dini za maboti zisizo na tija maishani mwetuWakuu nimeona leo tukumbushane mambo hatari ya kukwepa hasa unapokuwa ndani ya nchi tukufu Tanzania.
1. Kujihusisha kimapenzi na mke/mume wa mtu.
2. Kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi (shule ya msingi na sekondari).
3. Kumpa mimba mwanafunzi (shule ya msingi na sekondari)
4. Kujihusisha na biashara yoyote haramu hasa ile ya uuzaji wa madawa ya kulevya.
5. Wizi wa aina yoyote.
6. Kukutwa na nyara za serikali.
Ongezea mengine.