dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
7. Jiepushe na Ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaWakuu nimeona leo tukumbushane mambo hatari ya kukwepa hasa unapokuwa ndani ya nchi tukufu Tanzania.
1. Kujihusisha kimapenzi na mke/mume wa mtu.
2. Kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi (shule ya msingi na sekondari).
3. Kumpa mimba mwanafunzi (shule ya msingi na sekondari)
4. Kujihusisha na biashara yoyote haramu hasa ile ya uuzaji wa madawa ya kulevya.
5. Wizi wa aina yoyote.
6. Kukutwa na nyara za serikali.
Ongezea mengine.
Ubaradhuli wa uchunaji, ulaghai na kila ghilba.Duh kukubuhu kwenye nini mkuu
AyseeeUbaradhuli wa uchunaji, ulaghai na kila ghilba.
Cc dronedrake8. Jiepushe na CHAPUTA ,bakari nondo ,sheria mkononi
9. KATAA GONO, KATAA KASWENDE, KATAA NGOMA, JIUNGE CHAPUTA NOW8. Jiepushe na CHAPUTA ,bakari nondo ,sheria mkononi
Wewe jomba umeshakuwa BRAND kali sana kwenye suala la Chaputa. Yaani kwa dunia ya sasa kama umeshaamua kufanya upuuzi ufanye kwa viwango vya juu 😄😄9. KATAA GONO, KATAA KASWENDE, KATAA NGOMA, JIUNGE CHAPUTA NOW