Tujikumbushe Mapambano ya Ngumi ya Miaka ya Nyuma

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Jana bondia Anthony Joshua alichapwa katika pambano la ndondi ambalo halikupata uzito mkubwa kutokana na fainali ya UCL.

Leo hebu tujikumbushie mapambano ya ngumi yaliyotamba miaka ya nyuma. Miaka ile tunaamka alfajiri kuangalia masumbwi. Miaka akina Tyson na wenzake wakitamba.

Pambano lipi lilikuvutia mpaka leo bado lipo akilini mwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…