Tujikumbushe mbeleko ya point 27 za tff dhidi ya yanga vpl 2016/17

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Ubingwa wa yanga msimu wa mwaka 2016/17 kadi nyekundu tisa kwa wapinzani wa yanga na penalty tisa kwa yanga

Simba vs yanga kadi nyekundu #juuko mechi ya pili kadi nyekundu kwa #abdi banda

Yanga vs mwadui kadi nyekudu

Yanga vs mbeya city kadi nyekundu

Yanga vs coastal union kadi nyukundu

Yanga vs kagera sugar fc kadi nyekundu

Yanga vs tanzania prison kadi nyekundu

Yanga vs mtibwa sugar fc kadi nyekundu

Yanga vs singida fc kadi nyekundu

Yanga vs maji maji ya songea kadi nyekundu

Mechi zoote hizo mlipewa penati ili mpate point 3×9=27 muhimu na ubingwa mkapewa. Halafu bado wanayanga mnasema simba anabebwa leo 2019, kuweni na aibu wakati mwingine malipo ni hapa hapa duniani.
 
Hata kwa mzazi, huwezi kumnunulia mtoto wako tv hali ya kuwa unajua kuwa yeye ni kipofu. Sawa unaweza kufanya uadilifu kwa kumpatia kitu kingine mbadala. Kwa hatua na hali ya YANGA kwa sasa wao wanastahili kupata redio ya mkoloni na sisi tumiliki smart tv.
 
Ule Mpira wa penalty aliopiga bocco simba vs tp mazembe umemrudia bocco mwenyew na umeharibu biashara za watu huko mara
 
Ina maana hakuna Mwana Yanga alojitokeza hadi asahiv kutetea
Mkuuu happo hawagusi wala kutokea maaa a ukweli wanaujua wenyeweee. Anyway leo siku ya kuona mahabusu labda Wameenda Segerea kumpelekea Mlinzi sabuni na mkate wakirudi watajibu hojja.
 
Rage Mungu anakuona duh .. . Hivi Msuva, Niyo, Ngoma, Chirwa na Tambwe wako form mbaya mabeki lazima wacheze rafu. . Msuva hadi Morocco anatupia mbaya Sasa mabeki wa kibongo awafanye vp.. . Hivi ligi bado kumalizika mikia wamepiga penalty ngapi

Huu ndiyo uteteze wenu muliokuja nao?

Mikia FC aka Mbumbumbu FC.
 
Ni vyema zikaambatanishwa na video clips ili tuweze kuhoji uhalali wa hizo kadi nyekundu maana inawezekana hizo kadi zilitoka kiuhalali au kwa kuibeba makusudi timu ya Yanga.
 
Kwa hiyo mna justify kubebwa kwenu?
Na huu ndio uhalisia tunatengeneza timu mbovu ati za kwenda kushiriki champions league kwa hali hii?? Shame on you....
 
Kwa hiyo mna justify kubebwa kwenu?
Na huu ndio uhalisia tunatengeneza timu mbovu ati za kwenda kushiriki champions league kwa hali hii?? Shame on you....
Kwani huko klabu bingwa timu ipi imefika mbali Kati ya uwakilishi wenu wa miaka mi 4 Kati ya mi 5 ya nyuma na Simba katika mwaka wake wa Kwanza tuu....season ilipoishia msimu ya Simba msimu ujao inaendelea Simba wana malengo ya kweli Kama ulimsikia MO alivyozungumza na wahandishi wa habari alikwambia hizi TP Mazembe ,As Vita pamoja zimewekeza ila pia kila mwaka zinashiriki klabu bingwa ndomana zinafanya vizuri kwaio Simba ili malengo yetu yatimie kutwaa ubingwa wa Africa kwa kipindi tulichojiwekea lazima tuwe mabingwa kwa hiyo miaka tuliojiwekea au kwakua timu zimeongezeka kwenda klabu bingwa Basi tupate uwakilishi kila mwaka na hili Watanzania wote wanalijua na Watanzania wote mioyoni mwao hata nyie chura mnaamini Simba akiamua lake anaweza, hilo linajulikana Wana yanga wengi ukikaa nao ukiongea waweke ushabiki pembeni wanakwambia Simba kimataifa wanafanya vizuri....jiandaeni kisaikolojia Wana Yanga season yetu ya Yes we can,Do or Die ilipoishia msimu huu itaendelea kwenye klabu bingwa msimu ujao Hilo wekeni akilini kabisa hatutanii kwaio Kama mtachukia jiandaeni kuchukia kabisa hata mwakani.
 
Ndio maana 5+ zimepigwa sana ugenini wanategemea mbinu za kununua matefa na kupulizia sumu vyumbani miaka 4 ya yanga ajawai kupigwa 5 ni mpira wa uwezo tu sio kuforce
 
bakuli fc,,,tasaf fc,,,matonya fc,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…