Tujikumbushe mbeleko ya point 27 za tff dhidi ya yanga vpl 2016/17

Tujikumbushe mbeleko ya point 27 za tff dhidi ya yanga vpl 2016/17

katika hizo mechi ni ipi ambayo kadi nyekundu si sahihi ilitolewa kwa lengo la kuibeba yanga na eleza ilikuwaje kuonekana si sahihi na penalt ipi ya kubebwa? mikia fc mmeshajua litimu lenu linakosa ubingwa mnaanza kuweweseka
 
katika hizo mechi ni ipi ambayo kadi nyekundu si sahihi ilitolewa kwa lengo la kuibeba yanga na eleza ilikuwaje kuonekana si sahihi na penalt ipi ya kubebwa? mikia fc mmeshajua litimu lenu linakosa ubingwa mnaanza kuweweseka
Mkuuu acha kujichetua na kujaza Server za JF, Yaaani Simba kukosa Ubingwa ni sawa na Ngamia apenye tundu la Sindano.
 
Jiwe nampongeza kwa kitu kimoja,kuondoa mahusiano ya mikia na serikali.saizi wapambane na hali zao.Akina malinzi wanalipa walichokula.


Mvumilie ndo dawa inaingia.
 
katika hizo mechi ni ipi ambayo kadi nyekundu si sahihi ilitolewa kwa lengo la kuibeba yanga na eleza ilikuwaje kuonekana si sahihi na penalt ipi ya kubebwa? mikia fc mmeshajua litimu lenu linakosa ubingwa mnaanza kuweweseka
Kuna kadi alipewa Mkude ambayo ilipelekea mashabiki kuvunja viti uwanjani baadae TFF wakafuta adhabu aliyopewa Mkude
 
Kuna kadi alipewa Mkude ambayo ilipelekea mashabiki kuvunja viti uwanjani baadae TFF wakafuta adhabu aliyopewa Mkude
hiyo kadi ilizaa penalt? na kabla ya hiyo kadi game lilisoma ngapi ngapi na baada ya hiyo kadi matokeo yalikuwa vipi?
 
Wanabodi anzeni kuhesabu Point za Kubebwa kwa Penati mkianza na Ile ya NAMUNGO then hii ya BIASHARA juzi.
Point 4 za Magumashi tayari kibindoni wasije dhani tumelala. Yule mwamuzi wao dhidi ya Namungo kapigwa ban ya miezi 3 ili arudi tena kuwapa Vya bure
 
Wanabodi anzeni kuhesabu Point za Kubebwa kwa Penati mkianza na Ile ya NAMUNGO then hii ya BIASHARA juzi.
Point 4 za Magumashi tayari kibindoni wasije dhani tumelala. Yule mwamuzi wao dhidi ya Namungo kapigwa ban ya miezi 3 ili arudi tena kuwapa Vya bure
Ila mwisho wa msimu ukweli utajulikana. Binafsi naamini hakuna timu ya kuizuia Yanga kuchukua Ubingwa msimu huu. Atakaye jitokeza mbele yetu, ni kipigo tu. Hakuna kucheka tena na kima msimu huu.

Nimefurahi kuona kwa sasa mmegeuka kuwa Yanga ya 2019! Kutwa ni kulia lia tu. Mara tunabebwa na waamuzi! Mara oooh! Baadhi ya timu zinahongwa ili kuwakamia!! nk.
 
Ila mwisho wa msimu ukweli utajulikana. Binafsi naamini hakuna timu ya kuizuia Yanga kuchukua Ubingwa msimu huu. Atakaye jitokeza mbele yetu, ni kipigo tu. Hakuna kucheka tena na kima msimu huu.

Nimefurahi kuona kwa sasa mmegeuka kuwa Yanga ya 2019! Kutwa ni kulia lia tu. Mara tunabebwa na waamuzi! Mara oooh! Baadhi ya timu zinahongwa ili kuwakamia!! nk.
Kama walivosema malipo ni hapa hapa duniani, nao wanalipwa.

Wakati wanahesabu hizo mechi, wasisahau mechi kati ya simba na geita goli la George mpole lilikataliwa. Na penalty zile za mechi za awali.

Pia wasiwatwishe wengne mzigo wa kuifunga Yanga ilihali wao wameshindwa.
 
UBINGWA WA YANGA MSIMU WA MWAKA 2016/17 KADI NYEKUNDU TISA KWA WAPINZANI WA YANGA NA PENALTY TISA KWA YANGA

SIMBA Vs YANGA KADI NYEKUNDU #JUUKO MECHI YA PILI KADI NYEKUNDU KWA #ABDI BANDA 🇲🇦

YANGA Vs MWADUI KADI NYEKUDU🇲🇦

YANGA Vs MBEYA CITY KADI NYEKUNDU🇲🇦

YANGA Vs COASTAL UNION KADI NYUKUNDU 🇲🇦

YANGA Vs KAGERA SUGAR FC KADI NYEKUNDU 🇲🇦

YANGA Vs TANZANIA PRISON KADI NYEKUNDU 🇲🇦

YANGA Vs MTIBWA SUGAR FC KADI NYEKUNDU 🇲🇦

YANGA Vs SINGIDA FC KADI NYEKUNDU 🇲🇦

YANGA Vs MAJI MAJI YA SONGEA KADI NYEKUNDU 🇲🇦
Mechi zoote hizo mlipewa Penati ili mpate point 3×9=27 muhimu na Ubingwa mkapewa. Halafu bado Wanayanga mnasema Simba anabebwa leo 2019, kuweni na aibu wakati mwingine malipo ni hapa hapa Duniani.
Mawazo ya kijima.
 
Back
Top Bottom