mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
Natamani tujikumbushe baadhi ya matukio yenye ukakasi yaliowahi kutikisa umma wa watanzania na kupelekea serikali kutikisika huko nyumba..
Tanzania ingeweza kuwa mbali sana kiuchumi ikiwa uzalendo wa dhati ungetamalaki ktk michakato ya mambo muhimu Kwa maendeleo ya nchi yetu..
EPA-Uchotwaji wa mabilioni toka BOT
RICHMOND-Zabuni Za uzalishaji wa umeme wa dharula kugubikwa na songobingo la tuhuma Za ufisadi..
Tegeta Escrow :Uchotwaji wa mabilioni toka BOT .Za umma au sio Za umma..
Mgao wa taifa..Majaji,Maaskofu,Watumishi Waandamizi,Mawaziri,
Sijui lini tutapata majina ya waliopata mgao kupitia STANBIC Bank..
Net Group Solutions:Kandarasi ya usimamizi wa Shirika la Umeme la Tanesco..
Natamani kukumbuka ya TRL,TTCL,Alex Stewart na mengineo..
Huku kijijini na huu umeme wa REA haya
Tanzania ingeweza kuwa mbali sana kiuchumi ikiwa uzalendo wa dhati ungetamalaki ktk michakato ya mambo muhimu Kwa maendeleo ya nchi yetu..
EPA-Uchotwaji wa mabilioni toka BOT
RICHMOND-Zabuni Za uzalishaji wa umeme wa dharula kugubikwa na songobingo la tuhuma Za ufisadi..
Tegeta Escrow :Uchotwaji wa mabilioni toka BOT .Za umma au sio Za umma..
Mgao wa taifa..Majaji,Maaskofu,Watumishi Waandamizi,Mawaziri,
Sijui lini tutapata majina ya waliopata mgao kupitia STANBIC Bank..
Net Group Solutions:Kandarasi ya usimamizi wa Shirika la Umeme la Tanesco..
Natamani kukumbuka ya TRL,TTCL,Alex Stewart na mengineo..
Huku kijijini na huu umeme wa REA haya