Tujikumbushe moja ya matukio ya kusisimua World Cup 1998

Na mimi nilitaka kuzungumzia hili hili goli jamaa alipiga mpira toka katikati na kitu kikaitika da ilikua balaaa siku ile sitakuja kusahau
Jamani jamani kutoka katikati acheni basi uongo duuuh
 
Hoja kubwa siyo nguvu ya mashuti ila namna lile shuti la Roberto Carlos lilivyopinda na kuingia golini.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanikumbusha machungu us Nigeria kutolewa na Denmark halafu Okocha alipohojiwa akamwambia mwandishi wa habari take easy this is football. Hapo sijala 2days, toka hapo nikaapa sitokuwa mnazi tena wa Soccer kiasi kile
Wewe ni mnigeria unaeishi Tz sio..???

~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…