Uvae viatu ukiwa peku hata kama ni heater mpya/nzima utarushwa tuu, hamna namna.kweli?????, niliambiwa ukitaka kugusa maji ni mpk uwe umezima kwenye switch, labda ilikua mbovu kweli maana nilirushwa kweli
A[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji216]Siku ya kwanza kula tunda...... Niliitafuta sana kwa mbele, kumbe imejificha kwa nyuma.
AhahahahaNaingia benki mara ya kwanza baada ya kufungua mlango na kuingia naona mlango unarudi wenyewe sasa nikaogopa usije kujibamiza kwasababu ni wa kioo nkaushika na kuuanza kuupeleka taratibu .
Mlinzi ndo akanambia hauna shida we achia tu
Cha ajabu kwny car racing trainings wanafundisha kutumia miguu 2 kwny automatic car kwa usalama zaidi.Mara ya kwanza kuendesha gari nilikuwa natumia miguu miwili kucheza Na automatic transmission wa kulia una accelerate wa kushoto una break[emoji23][emoji23][emoji23] kweli ushamba mzigo
How?Hii huchangia kuharibu gari
Kwa mujibu wa kitabu cha gari
haaaah aiseee tupo weng complicatorsnimeenda posta kutuma barua ilikuwa kazi siku ile nawaza naidumbukiza ki namna gani? kwa urefu ama upana.
nikaona isiwe shida nikamfata mtu mmoja kumuuliza mzee hii barua naidumbukiza vp? kwa upana ama urefu alicheka saanaaaa yule mzee akanambia vyovyote vile.
aiseee upo?Yaan kwa kweli njia ni kuzikwepa tu hakuna namna, sizipendiiiiii nahisi na zenyewe hazinipendi hahahaha.