Tujikumbushe Nicknames za Wachezaji wetu wa Bongo


Itutu Kigi " road master "
Hussein Amani Marshal " Smart boy"
 
sanifu lazaro tingisha

bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
 
1. Sanifi lazaro 'tingisha'
2. Ramadhan Lenny 'mapafu ya mbwa'
3. Idd Suleiman 'nyigu'
4. Athuman Ramadhan 'china'
5. Emmanuel Okwi 'terroriser'.
 

Hawa jamaa ilikua unasikia EEEEEEH ASANTE SANA JUMA NKAMIA [emoji445], akipokea mwingine sasa utasikia SWEDI MWINYI *2 naomba niwarudishe kwanza kwa wadhamini wetu
 
Huyu jamaa alikuwa anapiga sana mawe, pamoja na Gaga Rino, Nteze John
Mzee wa kiminyio alikuwa tishio, kuna moja nilienda shuhudia simba na majimaji (majiaji stadium) karibu na katikati ya uwanja alipiga jiwe moja nusu mtamba wa panya uvunjike!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…