Old - Hand
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 2,042
- 1,917
Kitaambo ilikuwa burudan saana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khalfan Ngassa 'Pele wa Mwanza'
"Ali mayay tembele" hapo hamna nicknameAlj mayai tembele
Salvatory edward "polisi"
James tungaraza"bolizozo"
Haruna niyonzima"fabregas"
Ulikuwa mkoba wa pan african Peter lupokela ila ni almarhumu kwa sasa.Kuna mchezaji alikuwa anaitwa gari kubwa, jina lake halisi ni lipi?
Kaka kumbuka vyemaNteze John, Pamba - Zigzag
Pele wa Mwanza ni Juma AmiriKhalfan Ngassa 'Pele wa Mwanza'
yaaniiiiiiiFuso katuchoma tukapigwa tano
Huyu jamaa wa Abajalo ya sinza nadhani pia aliwahi timkia Brazil na nje kwingneko kabla ya kurudi nyumbaniHivi katika wachezaji wote kuna ambaye alivuma kwa mda mchache sana kama Kalimangongi Ongala