MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Asi confess nusu nusuJan yeye nafsi imemfinya ameamua ku confess mbele ya Dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asi confess nusu nusuJan yeye nafsi imemfinya ameamua ku confess mbele ya Dunia.
Kwanini wasiongee kipindi hicho? Unaweza ukakuta walioshiriki kuwahujumu wananchi leo ndio wanalalamila. Lengo ni kuitafuta huruma kwa wanachiHalafu January akiongea yaliyo moyoni mwake alaumiwe?
Ni kweli ndio maana baada ya Hayati JPM Kuingia madarakani miongoni mwa mafisadi sugu na wakwepaji sugu wa kodi kuanza kuwashughulikia ilikuwa ni Six TelecomsKuna uwezekano mkubwa mkiwa kundi na mnafanya maasi si wote mtakuwa mnafurahia matendo hayo.
Jamaa alitukomoa aseehBenito Musolin alikuwa amechukua Hatamu
Wewe na wana JFs wa wapi?Unapochangia Mada kuwa na Ustarabu na ujiepushe kutoa Lugha za Matusi na za kuudhi.
Sisi WanaJFs hatuungi mkono lugha za kihuni.
Anajifanya msemaji wa familia eti sisi wana JFs!Tusi ni lipi hapo?Umeanza kusahau lugha ya kiswahili.
Hahaa
Hiyo "kwa nini" lazima ina sababu.Kwanini wasiongee kipindi hicho? Unaweza ukakuta walioshiriki kuwahujumu wananchi leo ndio wanalalamila. Lengo ni kuitafuta huruma kwa wanachi
HahahaHiyo "kwa nini" lazima ina sababu.
Nakumbuka yule mmiliki fake wa gazeti la Tanzanite akitamba kuwa yeye ndiye aliye shauri kuzimwa kwa mitandao.Kwa mara ya kwanza hatutasahau unaamka asubuhi unaingia mtandaoni lakini inashindikana, unaangalia bando sina au , unauliza salio full bando ,unajiuliza hivi hii simu yangu imeharibika nataka niende kwa fundi nakutana na watu wengine wanajadili mtandao kuzimwa
Kuingia Jamiiforum ikashindikana ikabidi tuingilie Kenya yaani nilihisi Kama kuumwa
Hii habari ya kuzimwa mitandao nilikuwa nasikia kwenye nchi zenye hey hey nyingi lakini nilisikitika hali hii kuwepo Tanzania sitasahau kamwe na iandikwe kwenye vitabu vya kihistoria