Pre GE2025 Tujikumbushe Oktoba 2020 kipindi cha uchaguzi, uliteseka na mtandao ukiwa wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna uwezekano mkubwa mkiwa kundi na mnafanya maasi si wote mtakuwa mnafurahia matendo hayo.
Ni kweli ndio maana baada ya Hayati JPM Kuingia madarakani miongoni mwa mafisadi sugu na wakwepaji sugu wa kodi kuanza kuwashughulikia ilikuwa ni Six Telecoms
 
Unapochangia Mada kuwa na Ustarabu na ujiepushe kutoa Lugha za Matusi na za kuudhi.

Sisi WanaJFs hatuungi mkono lugha za kihuni.
Wewe na wana JFs wa wapi?
Acha kuleta somo la ustaraabu kwenye jumba la Wamisri,
Utazikwa bila mumiani kwa kiherehere cha kutaka kuwasemea wengine
Shabhaaaaash!
 
Nakumbuka yule mmiliki fake wa gazeti la Tanzanite akitamba kuwa yeye ndiye aliye shauri kuzimwa kwa mitandao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…