mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,275
Nora usimsahauKulikuwa na Nina, na Cathy duuh kumbe Bongo movie wameanza kitambo nao..
We mwana hebu angalia uthamani wa utu wako..........Ili uwastiri washkaji nao wapate kujiuguza....
Sinta ni mke wangu niko naye hapa Mbezi tunakula bamiaKulikuwa na Nina, na Cathy duuh kumbe Bongo movie wameanza kitambo nao..
Hivi ajalibya mtotonwa dandu ilitokea eneo gani?Mara nyingi Nilipokuwa napita njia ya Victoria kipindi kile nilikuwa nakumbuka ajli ya Dandu. Halafu watu wakasema Juma alimroga...
Aisee Norah alikuwa bonge la dem.Demu alikuwa Norah bana!!..chaputa moro tulikua vizuri!.
Ule weupe tulitikiswa haswaa!!..Aisee Norah alikuwa bonge la dem.
Nahisi Juma alipoanza kulia Sinta alimshangaa " he wewe, kwa hiyo ulitegemea uwe mwenyewe?"Necha alilia Mb Doggy cha mtoto.
If my memory is correct ni pale karibu na ilipokuwa Spanish tiles ukitoka Mwananyamala ukiwa unakutana na njia yaAlhasn Mwinyi...I stand to be correctedHivi ajalibya mtotonwa dandu ilitokea eneo gani?
Nyi ndo unaingia jukwaa la vichekesho naanza kusema eti hivi viwanda vitajengwa kweli mkuu acha tabia ya kujisaidia haja kubwa sebureni nenda jukwaa sahihi la chooniTafuta kazi ya kufanya mkuu, kama ndiko huku unakoelekea unafikia mpaka hatua ya kuadhimisha mapenzi ya watu??
Kila zama zina nabii wakeMbn umarufu wake ulishuka gafla tatzo nn
Richie alikuwa noma alimtongoza monalisa akakataliwa basi akakaa mlangoni usiku kucha ,dah wajinga ilitu touch yaani nusu watu tuandamane ili jamaa likubaliweNoma sana ile black beaut.Nilikuwa bado kiumri but nilitamani sana kuwa naye yule dada.Nilipokuwa nikasahau yote.