Tujikumbushe penzi la Juma Nature na Sinta

Hilo penzi ilihit sana!nilikuwa napita post nikanunua gazeti la udaku imeandikwa, "MWUZA MITUMBA ASEMA SINTA SI BIKIRA NISHAITOA"
Aisee shigongo alikuwa anauza kwa skendo za mastars sema tu internet imemharibia soko
 
Kitambo sna mitaa ya kwetu ilala sharif shamba kuna chuo cha dsj cha mambo uandishi wa hbr mtt sinta alikuwa anasoma pale ilikuwa hatari ikifika launch time bonga bar full kujibwaga...
We mhenga kishenzi mkuu
 
ENZI HZO MADEMU WALIOKUWA WANATIKISA MJINI

1. Johari
2. Sinta
3. Norah
4. Nancy sumari
5. Ray C (huyu ray c kiukweli watu wamemparamia sana, hapa ndipo naamin papuch haikomoleki, maana mapromota wanamchukua, wanamlipa then wanampa na kishka uchumba, kiuno kinaachiwa.. Enzi hzo yupo na mwisho mwampamba wa BBA)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…