TUJIKUMBUSHE: Recreativo de Libolo 5-0 Simba S.C l aggregate l

TUJIKUMBUSHE: Recreativo de Libolo 5-0 Simba S.C l aggregate l

Simba lunyasi

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2022
Posts
385
Reaction score
840
Wakati tukienda kupambana na hawa CD Primeiro de Agosto, niwakumbushe tu Wanasimba wenzangu kuwa wa Angola siyo watu wazuri kwetu kwani mwaka 2013 tulipigika nje ndani na Libolo ya Angola kwa aggregate iyo ya 5-0 na kutolewa kwa aibu kubwa CAFCL hatua ya kwanza.

Yaani tulizalilishwa sana aisee, ukizingatia jina la hiyo timu iliyotufunga ilikuwa ni fedhea sana kwakweli, na magazeti nayo yakaandika "Simba yakalia Libolo"
 
Joined 28 September 2022
Haya "mwanasimba mwenzetu"
Sisi utopolo tumekusikia
Usiangaike na mleta hoja Mkuu nenda kwenye hoja, waangola sio watu wema na iyo ni fact.. Tulizabuliwa vibaya sana na hao Libolo.. Kwa Mkapa tulipigwa kimoja na huko Angola Libolo walituchomeka vinne jumla ikawa vi5 Kwa 0
 
Usiangaike na mleta hoja Mkuu nenda kwenye hoja, waangola sio watu wema na iyo ni fact.. Tulizabuliwa vibaya sana na hao Libolo.. Kwa Mkapa tulipigwa kimoja na huko Angola Libolo walituchomeka vinne jumla ikawa vi5 Kwa 0
Waliwachomeka vinne au maNne Mkuu!? Wingi wa Libolo ni Mabolo au nasema uongo Ndugu zangu?
 
Sikujua kama Libolo ni jina hilo halina wingi na umoja. Tuliteseka sana huo mwaka, yaani Kila Kona ilikuwa Simba wamepigwa na Libolo
Bila shaka wewe ni mtoto

Simba ilishacheza nusu fainali na Atletico Sportivo Aviacao ya Angola na kuwatoa kwenye mashindano.

Kwa hiyo hao Waangola wala wasikutishe
 
Bila shaka wewe ni mtoto

Simba ilishacheza nusu fainali na Atletico Sportivo Aviacao ya Angola na kuwatoa kwenye mashindano.

Kwa hiyo hao Waangola wala wasikutishe
Na kumbuka kipindi tunawatoa hao atretico Sportivo 1993, Angola haikuwa stable country vita kila kona kina Jonas malheiro savimbi walikuwa wanakiwasha sana hivyo hata mpira nadhani haukuwa ukichezwa ki viile maana nchi ilikuwa kwny vita ya wenyew Kwa wenyewe.

Hawa De Agosto wanaweza kutufanya ya Libolo
 
Wejaa acha matusi buana!
"Libolo" unalifamu?
Wakati tukienda kupambana na hawa CD Primeiro de Agosto, niwakumbushe tu Wanasimba wenzangu kuwa wa Angola siyo watu wazuri kwetu kwani mwaka 2013 tulipigika nje ndani na Libolo ya Angola kwa aggregate iyo ya 5-0 na kutolewa kwa aibu kubwa CAFCL hatua ya kwanza.

Yaani tulizalilishwa sana aisee, ukizingatia jina la hiyo timu iliyotufunga ilikuwa ni fedhea sana kwakweli, na magazeti nayo yakaandika "Simba yakalia Libolo"
 
Wakati tukienda kupambana na hawa CD Primeiro de Agosto, niwakumbushe tu Wanasimba wenzangu kuwa wa Angola siyo watu wazuri kwetu kwani mwaka 2013 tulipigika nje ndani na Libolo ya Angola kwa aggregate iyo ya 5-0 na kutolewa kwa aibu kubwa CAFCL hatua ya kwanza.

Yaani tulizalilishwa sana aisee, ukizingatia jina la hiyo timu iliyotufunga ilikuwa ni fedhea sana kwakweli, na magazeti nayo yakaandika "Simba yakalia Libolo"
Huu upuuzi washirikishe nyani wenzako wa pori la Utopolo
 
Wakati tukienda kupambana na hawa CD Primeiro de Agosto, niwakumbushe tu Wanasimba wenzangu kuwa wa Angola siyo watu wazuri kwetu kwani mwaka 2013 tulipigika nje ndani na Libolo ya Angola
Huwa tunazingatia mambo mengi tunaposoma uzi wa mtu:

1665034304690.png
 
Back
Top Bottom