TUJIKUMBUSHE: Recreativo de Libolo 5-0 Simba S.C l aggregate l

TUJIKUMBUSHE: Recreativo de Libolo 5-0 Simba S.C l aggregate l

Hapo ngono ipo wapi mkuu?
Hiyo ya kukalia Libolo ni dalili kwamba umewekeza mawazo yako huko. Hata hivyo haujakosea maana haujavunja sheria za nchi, ila nilikuwa nakumbusha tu kuwa watu huwa tunazo tofauti za kuwekeza katika kupanga nini jambo la kuliwekea hoja
 
Hebu tukumbushe ile ya May 6, 2012 pale shamba la bibi
 
Je, alichokiandika kuhusu hao Libolo kuwapiga nje ndani kina ukweli, amejitungia tu! Maana simba siyo timu ya kupigwa nje ndani!!
Yupo sahihi kabisa, miaka 9 iliyopita Simba ilifungwa na Recreativo do Libolo, 1-0 Dar na 4-0 Luanda

1665037833706.png
 

Unatumia nguvu nyingi kutafuta habari ambazo ni dhahiri kabisa, wala hakuna anayepinga. Kusisitiza ni kwamba Simba ilifungwa 1-0 hapa Dar na walipoenda Angola Simba ilifungwa 4-0. Miaka 9 tu iliyopita hiyo habari wala hauna haja ya kuitafuta, maana teknolojia ilikuwa ipo tayari juu.

Jambo la msingi ni kujifunza kutokana na makosa. Na ndio maana nikakuwekea hii ambayo miaka saba baadaye Simba ilikuja kuongoza kundi mbele ya Al Ahly, Vita Club na El Mereikh. Huko ndio kujifunza kwenyewe

1665038228758.png
 
Unatumia nguvu nyingi kutafuta habari ambazo ni dhahiri kabisa, wala hakuna anayepinga. Kusisitiza ni kwamba Simba ilifungwa 1-0 hapa Dar na walipoenda Angola Simba ilifungwa 4-0. Miaka 9 tu iliyopita hiyo habari wala hauna haja ya kuitafuta, maana teknolojia ilikuwa ipo tayari juu.

Jambo la msingi ni kujifunza kutokana na makosa. Na ndio maana nikakuwekea hii ambayo miaka saba baadaye Simba ilikuja kuongoza kundi mbele ya Al Ahly, Vita Club na El Mereikh. Huko ndio kujifunza kwenyewe

View attachment 2378532
Mkuu mbona we ndio unaetumia nguvu nyingi Kuni prove wrong kitu kilicho dhahiri? Uzi wangu ni kumbukumbu ya kilichotokea miaka iyo kutoka Kwa hao Waangola na jinsi ambavyo ilo jina Libolo lilivyopata umaarufu
 
Unatumia nguvu nyingi kutafuta habari ambazo ni dhahiri kabisa, wala hakuna anayepinga. Kusisitiza ni kwamba Simba ilifungwa 1-0 hapa Dar na walipoenda Angola Simba ilifungwa 4-0. Miaka 9 tu iliyopita hiyo habari wala hauna haja ya kuitafuta, maana teknolojia ilikuwa ipo tayari juu.

Jambo la msingi ni kujifunza kutokana na makosa. Na ndio maana nikakuwekea hii ambayo miaka saba baadaye Simba ilikuja kuongoza kundi mbele ya Al Ahly, Vita Club na El Mereikh. Huko ndio kujifunza kwenyewe

View attachment 2378532
Mtoa mada ametoa tu tahadhari! Maana mnaenda tena kucheza na hao Waangola wengine. Hivyo hatutaki kuona historia inajirudia.
 
Mkuu mbona we ndio unaetumia nguvu nyingi Kuni prove wrong kitu kilicho dhahiri? Uzi wangu ni kumbukumbu ya kilichotokea miaka iyo kutoka Kwa hao Waangola na jinsi ambavyo ilo jina Libolo lilivyopata umaarufu
Mimi sijakuprove wrong, nimekuunga mkono. Labda kama hauelewi maana ya terminology 'proving wrong'
 
Mtoa mada ametoa tu tahadhari! Maana mnaenda tena kucheza na hao Waangola wengine. Hivyo hatutaki kuona historia inajirudia.
Kama lengo ni Waangola, mwaka 1993 Simba iliwachapa Atletico Sport Aviacao (ASA) ya Angola 3-1 hapa Dar, na kwenda kutoa sare ya 0-0 kule Angola, na Simba ikafika fainali ya kombe la CAF mwaka huo. Kwa hiyo sio mara ya kwanza kwa Simba kucheza na Waangola
cc: Simba lunyasi
 
Mtoa mada ametoa tu tahadhari! Maana mnaenda tena kucheza na hao Waangola wengine. Hivyo hatutaki kuona historia inajirudia.
Umeona mkuu, Wana simba wenzangu sijui wapoje, Yaani nawapa tahadhari kuhusu hawa Waangola tunaoenda kukutana nao ili Yale ya Libolo yasije kujirudia wanaanza kunishambulia mara oooh huyu ni utopolo, mara amejiunga Juzi Juzi tu humu jf... Sasa kuna Sheria inasema ili upost Uzi humu inabidi uwe member mzoefu???
 
Umeona mkuu, Wana simba wenzangu sijui wapoje, Yaani nawapa tahadhari kuhusu hawa Waangola tunaoenda kukutana nao
Kama lengo ni Waangola, mwaka 1993 Simba iliwachapa Atletico Sport Aviacao (ASA) ya Angola 3-1 hapa Dar, na kwenda kutoa sare ya 0-0 kule Angola, na Simba ikafika fainali ya kombe la CAF mwaka huo. Kwa hiyo sio mara ya kwanza kwa Simba kucheza na Waangola
 
We si umefikia paka kuonesha nimejiunga lini jf ??? Waliosoma Cuba watakuwa wameelewa
Kuonyesha profile yako nilikuwa nina lengo la kukadiria umri wako, ili nihoji kama una kumbukumbu (kama ulikuwa umezaliwa lakini) kuwa mwaka 1993 Simba ilifika fainali ya kombe la CAF kwa mgongo wa Waangola, baada ya kuichapa Atletico Sport Aviacao ya Angola 3-1 hapa Dar na sare ya 0-0 huko Angola
 
Kama lengo ni Waangola, mwaka 1993 Simba iliwachapa Atletico Sport Aviacao (ASA) ya Angola 3-1 hapa Dar, na kwenda kutoa sare ya 0-0 kule Angola, na Simba ikafika fainali ya kombe la CAF mwaka huo. Kwa hiyo sio mara ya kwanza kwa Simba kucheza na Waangola
cc: Simba lunyasi
Basi ni jambo zuri. Mkapambane sasa. Maana kaka zenu tumejipanga vilivyo kuwaonesha kwamba siku zote sikio halizidi kichwa.
 
Umeona mkuu, Wana simba wenzangu sijui wapoje, Yaani nawapa tahadhari kuhusu hawa Waangola tunaoenda kukutana nao ili Yale ya Libolo yasije kujirudia wanaanza kunishambulia mara oooh huyu ni utopolo, mara amejiunga Juzi Juzi tu humu jf... Sasa kuna Sheria inasema ili upost Uzi humu inabidi uwe member mzoefu???
Hapa hujatoa tahadhari ila umeleta kejeli mno.

Na kama unakumbusha na kutoa tahadhari kwa Simba kwanini umejikita kwenye hilo jina la Timu na kurudia rudia, kwani kufungwa na jina kuna uhusiano gani..!

Ndo maana Mkuu SAGAI GALGANO amekuambia kuwa huu upuuzi washirikishe Nyani wenzako huko ndo mtaelewana..!
 
Hapa hujakumbusha ila umeleta kejeli mno.

Na kama unakumbusha na kutoa tahadhari kwa Simba kwanini umejikita kwenye hilo jina la Timu na kurudia rudia, kwani kufungwa na jina kuna uhusiano gani..!

Ndo maana Mkuu SAGAI GALGANO amekuambia kuwa huu upuuzi washirikishe Nyani wenzako huko ndo mtaelewana..!
Unatakiwa kutoa maoni yako bila kutumia matusi au lugha isiyofaa.

Jf ni jukwaa huru mtu kutoa hoja/maoni yake pasipo kuingiliwa.

Usinipangie nitoe hoja za kukufurahisha tu wewe na wenzako wenye maoni kama yako.
 
Back
Top Bottom