Tujikumbushe: Simba walitolewa na Jwaneng Galaxy kwa matokeo ya jumla ya 3-3

Tujikumbushe: Simba walitolewa na Jwaneng Galaxy kwa matokeo ya jumla ya 3-3

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kejeli dhidi ya mafanikio ya Simba ya zinakuwaga kubwa halafu pale upande wa pili wanapofikia mafaniko hayo au wanapopata changamoto fulani ambayo Simba waliwahi kupitia ndiyo fahamu zinawajia wanasahau yale waliyowahi kubwabwaja.

Msimu uliopita katika mashindano ya Champions League hatua ya awali round ya pili, Simba walikutana na Jwaneng Galaxy ya Botswana. Katika mechi ya kwanza iliyofanyika Botswana, Simba walishinda kwa goli 2-0. Mechi ya marudiano kwa Mkapa, Jwaneng walishinda kwa matokeo ya 3-1 na kufanya matokeo ya jumla kuwa 3-3. Kwa matokeo hayo, Kanuni za CAF zikaitoa Simba katika Champions League akaangukia Kombe la Shirikisho.

Hapo sijagusia matokeo ya msimu wa nyuma yake kati ya Simba vs UD Songo ya Msumbiji ambapo Simba walitolewa kwa matokeo ya jumla ya 1-1. Kanuni za CAF kwa mara nyingine tena zikaitoa Simba katika Champions League.

Sikumbuki kusikia watu wa Yanga kusema Simba wametolewa KIKANUNI. Zaidi zilikuwa ni kejeli mtindo mmoja ikiwemo kusema Kombe la Shirikisho waliloangukia Simba kuwa ni kombe la losers.

Fahamu imekuja kuwajia sasa baada ya hali hiyo kuwakuta wao.
 
Kejeli dhidi ya mafanikio ya Simba ya zinakuwaga kubwa halafu pale upande wa pili wanapofikia mafaniko hayo au wanapopata changamoto fulani ambayo Simba waliwahi kupitia ndiyo fahamu zinawajia wanasahau yale waliyowahi kubwabwaja.

Msimu uliopita katika mashindano ya Champions League hatua ya awali round ya pili, Simba walikutana na Jwaneng Galaxy ya Botswana. Katika mechi ya kwanza iliyofanyika Botswana, Simba walishinda kwa goli 2-0. Mechi ya marudiano kwa Mkapa, Jwaneng walishinda kwa matokeo ya 3-1 na kufanya matokeo ya jumla kuwa 3-3.

Hapo sijagusia matokeo ya msimu wa nyuma yake kati ya Simba vs UD Songo ya Msumbiji ambapo Simba walitolewa kwa matokeo ya jumla ya 1-1.

Sikumbuki kusikia watu wa Yanga kusema Simba wametolewa KIKANUNI. Zaidi zilikuwa ni kejeli mtindo mmoja ikiwemo kusema Kombe la Shirikisho waliloangukia Simba kuwa ni kombe la losers.

Fahamu imekuja kuwajia sasa baada ya hali hiyo kuwakuta wao.
Ilikuwa fainali hii?
 
Bado na review ile thread ya Jwaneng Galaxy na Simba.

ID zilizokuwa zinafanya sherehe siku ile ndio hizi ambazo leo zinatuambia tuwe wazalendo, mara sijui hawajafungwa.

Watu walifanya party babkubwa kwasababu Simba ametolewa.
 
FB_IMG_1682646137959.jpg
 
Utopolo akili zao wanazijua wenyewe walikuwa wanaenda airport kupokea timu zilizokuwa zinacheza na Simba, walikuwa wanawaambiwa wapinzani wa Simba kuwa wanapuliziwa dawa lakini wao ndio wamepigwa faini kwa makosa hayo yaani sijui niwafanishe na wachawi au mwanamke mwenye gubu
 
Bado na review ile thread ya Jwaneng Galaxy na Simba.

ID zilizokuwa zinafanya sherehe siku ile ndio hizi ambazo leo zinatuambia tuwe wazalendo, mara sijui hawajafungwa.

Watu walifanya party babkubwa kwasababu Simba ametolewa.
Huwa hawana akiba ya maneno. Hawajui leo yangu inaweza kuwa kesho yao.
 
Mbumbumbu ni mbumbumbu tuu yaani umeshiriki ngao ya jamii umepata zero, mapinduzi cup umepata zero, FA cup umepata zero, mpaka ligi kuu unazero na bado unafuraha..
 
Bado na review ile thread ya Jwaneng Galaxy na Simba.

ID zilizokuwa zinafanya sherehe siku ile ndio hizi ambazo leo zinatuambia tuwe wazalendo, mara sijui hawajafungwa.

Watu walifanya party babkubwa kwasababu Simba ametolewa.
Ndo watulie hivyo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom