Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Wanabodi, nawaomba radhi wenzetu ambao mko chini ya miaka 40 maana hamuwafahamu sana wachezaji hao, lakini kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa, mtaweza kupata historia ya miaka hiyo.
Nakumbuka Taifa Stars ya mwaka 1980, ndio pekee ambayo iliyofika mbali zaidi ktk michuano ya AFCON.
Tukumbushane wachezaji wa kikosi hicho, na ambacho hakijawahi kutokea kwa maana ya kufika mbali ktk mashindano hayo.
Baadhi ya wachezaji hao ni:-
1. Juma Pondamali (Mensah)
2. Leopard Mukebezi (Tasso)
3.
4. Leodgar Tenga (T Captain)
5. Jella Mtagwa
6. Mohammed Rishard (Adolf)
7.
8.
9. Augustino Peter (Peter Tino)
10. Mohammed Salim
11. Thuwein Ali
Wakongwe wenzangu, Baba Enock na wengine wachezaji tukumbushane niliowasahau.
Vv
Nakumbuka Taifa Stars ya mwaka 1980, ndio pekee ambayo iliyofika mbali zaidi ktk michuano ya AFCON.
Tukumbushane wachezaji wa kikosi hicho, na ambacho hakijawahi kutokea kwa maana ya kufika mbali ktk mashindano hayo.
Baadhi ya wachezaji hao ni:-
1. Juma Pondamali (Mensah)
2. Leopard Mukebezi (Tasso)
3.
4. Leodgar Tenga (T Captain)
5. Jella Mtagwa
6. Mohammed Rishard (Adolf)
7.
8.
9. Augustino Peter (Peter Tino)
10. Mohammed Salim
11. Thuwein Ali
Wakongwe wenzangu, Baba Enock na wengine wachezaji tukumbushane niliowasahau.
Vv