Kumbe mambo mbotela kashafariki.
R.I.P
Viol...... naomba nisahihishe na nifute usemi wangu wa awali..... 'LEONARD MAMBO MBOTELA HAJAFARIKI YUPO HAI'. SAMAHANI WADAU KWA KULETA TAARIFA AMBAZO HAZIKUWA SAHIHI!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mambo mbotela kashafariki.
R.I.P
Viol...... naomba nisahihishe na nifute usemi wangu wa awali..... 'LEONARD MAMBO MBOTELA HAJAFARIKI YUPO HAI'. SAMAHANI WADAU KWA KULETA TAARIFA AMBAZO HAZIKUWA SAHIHI!!!!!!
haya bwana naona wewe una ubishi wa kiulaya ulaya. tukitumia vigezo vya mafanikio ya individual players hata leo wapo ambao klabu kubwa za Africa zimewanunua kutoka tz sasa tuseme timu yataifa imekuwa imara? kwanza hii heading inapotosha eti MIAMBA YA SOKA AFRIKA!!! kwa lipi walilofanya .kujifariji tu
Wanabodi, nawaomba radhi wenzetu ambao mko chini ya miaka 40 maana hamuwafahamu sana wachezaji hao, lakini kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa, mtaweza kupata historia ya miaka hiyo.
Nakumbuka Taifa Stars ya mwaka 1980, ndio pekee ambayo iliyofika mbali zaidi ktk michuano ya AFCON.
Tukumbushane wachezaji wa kikosi hicho, na ambacho hakijawahi kutokea kwa maana ya kufika mbali ktk mashindano hayo.
Baadhi ya wachezaji hao ni:-
1. Juma Pondamali (Mensah)
2. Leopard Mukebezi (Tasso)
3.
4. Leodgar Tenga (T Captain)
5. Jella Mtagwa
6. Mohammed Rishard (Adolf)
7.
8.
9. Augustino Peter (Peter Tino)
10. Mohammed Salim
11. Thuwein Ali
Wakongwe wenzangu, Baba Enock na wengine wachezaji tukumbushane niliowasahau.
Vv
View attachment 260444
Majina ya wachezaji wanaotajwa kwenye wimbo wa Taifa Stars
Iddi Pazi
Kiwelo Mussa
Said George
Athumani Maulidi
Athumani Chama
Ahmed Amasha
Ramadhani Lenny
Mohamed Adolf
Octaviani Mrope
Makumbi Juma
Peter Tino
Charles Borniface
Lila Shomari
Hillary Hemed
Selestine Mbunga
Zamoyoni Mogela
Abdul Wakati Juma
Joel Bendera
Hao wawili wa mwisho nadhani walikuwa makocha
Umenikumbusha mbali; huyo ni Freddie Ndala Kasheba (Supreme) akiwa na Orchestra Safari Sound.
Hicho kikosi cha Stars ni cha miaka ya katikati ya 1980.
Wachezaji na Timu zao ni: Idd Pazi 'father', Kiwelu Mussa 'Super Kiwelu', Athumani Maulid 'Big man', Ramadhani Lenny Maufi 'Abega', Lilla Shomari, Zamoyoni Mogella 'Golden Boy' (Simba SC); Said George, na Hillal Hemed (Coastal Union), Athumani Juma 'Chama', Ahmed Amasha, Makumbi Juma 'Bongabonga', Charles Boniface Mkwasa 'Master', (Yanga SC); Mohammed Rishard 'Adolf', na Peter Tino (Pan Africa), Octavian Mrope, na Celestine 'Sikinde' Mbunga (Majimaji). Abdul Wakati Juma alikuwa kiungo mahiri kutoka Small Simba ya Zanzibar.
Vv
huwa najiuliza hawa mnaowasifu walishirii mara ngapi michuano ya mataifa huru Afrika? mimi naona ni yaleyale hakuna lolote
Ongezea Mogela na Juma BurhaniNico Njohole alikuja baadaye pamoja na Ahmed Amasha, Athumani Juma Chama, na Yusufu Ismail Bana. Daud Salum na Kajole sikumbuki kama waliwahi kuwa ktk first eleven ya T Stars.
Kumbukumbu yangu Stars ya 1981iliyopigwa na Harambee Stars Uwanja wa Taif ilikuwa na:Hamis Kinye,Yusuf Bana, Ahmed Amasha, Athumani, Juma Chama, Jella Mtagwa, Nico Njohole, Peter Tino.
Harambee Stars ilikuwa
Mahamoud Abas (Kenya One), Hussein Heri, Josephat Mulira, Bob Ogolla, Wilberforce Mulamba Francis Kadenge, Peter Otieno 'Basanga' na wengine.
Vv
Nafikiri 81 au 82 wakati huo kocha mjerumani RudiZamoyoni Mogella alikuwepo kweli mwaka 1980?