Tujikumbushe tuliosoma Kibaha Sekondari miaka ya 1993, Mkuu wa Shule akiwa Mwaipaja

Sidhani Kama kuna Shule ya Serikali wanakula raha Kama Kibaha A level tulitupwa Tabora boys na jamaa yangu akawa anapambana rule vizuri Kama Kibaha wakamwambia Kibaha iko chino ya shirika la Elimu alipozidi wakampa kiranja wa chakula, ikawa kimia.
da yaani acha tu kibaha shule jamani na ndiyo maaana ufaulu mkubwa utaachaje kufaulu kwa raha zile kila kitu unapata
 
Wazee wengine tumeingia pale miaka ya 2000.Mzee Mwampaja sijui yuko wapi..but kuna kipindi alikuwa mkuu wa idara ya elimu...nimepita pale mwaka jana mwezi wa 5 hivi shule imechoka kiasi na walikuwa wanajiandaa na fundraising mwezi August mwaka jana...Mzee rubacha..Msaki..Konga...Mose...Kuwoko..Mbawala wa kemia na Mbawala wa history..Zuberi..Nchimbi...Long time na kweli maisha yanakwenda kasi sana
Moja ya wakuu wa shule peace sana.

Baadaye alikuja master mmoja alikuwa anaitwa sijui Kayenga kama zoba zoba hivi na second wake chizi mmoja hivi anaitwa Kachingwe Kaselenge "KK"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nilitoka 2005 mzee...Kashbaba alitukimbiza siku moja sugar kule kidgo nyoka anigonge...sitamsahau
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee si fungua hata wa loleza
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Just jokes mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kweli mlisoma shule hii? Kwanini mtu mmoja aandikwe Mwampaja na Mwaipaja?
 
da aisee kweli kunaweza kukawa na mabadiliko kunakipindi miaka ya 1992 kama sikosei nordic countires walifanya ukarabati mkubwa sana ndo wakaweka na yale mapaa yaliyopo mwanzo kulikuwa flat tu juu kama imechoka tena kweli inahitaji ukarabatiu lakini is the best school
 
Duh! Itabidi uongozi wa JF ufanye utaratibu wa kuweka umri wa mtu mbele ya utambulisho (ID) wake hata kama tunatumia majina ya bandia. Unaweza kupiga biti wakubwa wako😀

Hope you guys you're enjoying your early retirement.
 
Babu Kayenga alikua Goi goi, akifika Assemble yeye anaongelea masuala ya Usafi tuu, masuala ya elimu alikua mbali nayo sana

Kuna Cashbaba mzee wa pajero, tumekimbizana nae sana kipindi cha umisetta pale skuli

Tumekula sana maembe kwny miti ya pale, kabla hujatimba class unapitia kwny miembe kupata breakfast

Masharobaro wanakaa Nyanza na Msuli bundi wanakaa Scandia

Cheza sana mwanalugali, mailimoja, Javisco, Mangeshoo, BetiLmerin

Kuna Maza mmoja anaumitwa Mama Nyandingo alikua na Mihogo mitamu kweli kweli[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Jina halisi ni Reuben Mwampaja Headmaster aliependwa na wanafunzi sana..nakumbuka siku moja ulitokea mgomo baridi wa msosi kuna,da sjui nani alimpa taarfa..ilipgwa kengele ya dharula madent wote wamemuna..aliposmama akauliza "eti mnataka Nyali wanangu?wakaitia ndyoo!! Da alisema jioni mtakula Nyali naVyuku!!Da mgomo ulipotea hapohapo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Yes Mwampaja alienda kuwa mkuu wa idara ya elimu na baadaye akaja kustaafu, kwa sasa sijui atakuwa wapi kwa kweli...

Mwl Zuberi ni marehemu alifariki kitambo kidogo...

Msaki alikuja hamishwa sijui alienda wapi...
 
Hivi kweli mlisoma shule hii? Kwanini mtu mmoja aandikwe Mwampaja na Mwaipaja?
Mwampaja ndio jina halisi...

Mwaipaja na Mwampaja yote majina ya wanyakyusa, yanayoshabiana katika matamshi na uandishi....

Kama ukiyataza vizuri utofauti wake ni uwepo wa 'i' na 'm' kwa kila jina mojawapo
 
Nilimaliza Six 2009... tulikuwa wote mwaka mmoja. Na hivyo umesema ulisoma olevel palepale...muliorudi pale mnahesabika. Wewe itakuwa tunafahamiana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…