iboyamwaka2020
JF-Expert Member
- Jan 14, 2020
- 725
- 844
- Thread starter
- #21
da yaani acha tu kibaha shule jamani na ndiyo maaana ufaulu mkubwa utaachaje kufaulu kwa raha zile kila kitu unapataSidhani Kama kuna Shule ya Serikali wanakula raha Kama Kibaha A level tulitupwa Tabora boys na jamaa yangu akawa anapambana rule vizuri Kama Kibaha wakamwambia Kibaha iko chino ya shirika la Elimu alipozidi wakampa kiranja wa chakula, ikawa kimia.