iboyamwaka2020
JF-Expert Member
- Jan 14, 2020
- 725
- 844
Wakuu,
Nimepata hamu sana ya kuikumbuka shule niliyosoma O Level na kumaliza mwaka 1993 Form Four. Hebu kama kuna mtu alisoma kipindi hicho tubadilishane mawazo; wakati huo Mkuu wa Shule Mwaipaja; Second Master Mainoya, kina Mpalaza na wengine wengi.
Karibuni
Nimepata hamu sana ya kuikumbuka shule niliyosoma O Level na kumaliza mwaka 1993 Form Four. Hebu kama kuna mtu alisoma kipindi hicho tubadilishane mawazo; wakati huo Mkuu wa Shule Mwaipaja; Second Master Mainoya, kina Mpalaza na wengine wengi.
Karibuni