NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Wakiongozwa na Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga.1.Wanafanyaje pre season Avic Town halafu wanategemea mafanikio kimataifa wakati wenzao wanaenda Nje wanapata exposure.
2. Nabi sio kocha wa kimataifa na hana bahati kabisa na mechi za kimataifa.
3.wanakata upepo kipindi cha pili.
4. Yanga wanacheza friend mechi na chenza fc wenzao wameenda Dubai.
5.Yanga haina uzoefu kimataifa na wale Mazembe hawajawai kufungwa na Team kutoka Tanzania.
6.Rivers hawajawai kupoteza uwanja wao wa nyumbani.
7. Watamkumbuka FEISAL
8. Rais wao ana ushikaji na wachezaji sana.
9.wamesajili bendi ya wakongo hawatofanya lolote kimataifa.
ONGEZEA.
Hilo jamaa mwili tembo akili kisoda.Wakiongozwa na Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga.
Wachambuzi walikuwa sahihi na walichosema kilishatokea. Yanga ilitolewa raundi ya kwanza na Al Hilal ya Sudan1.Wanafanyaje pre season Avic Town halafu wanategemea mafanikio kimataifa wakati wenzao wanaenda Nje wanapata exposure.
2. Nabi sio kocha wa kimataifa na hana bahati kabisa na mechi za kimataifa.
3. wanakata upepo kipindi cha pili.
4. Yanga wanacheza friend mechi na chenza fc wenzao wameenda Dubai.
5. Yanga haina uzoefu kimataifa na wale Mazembe hawajawai kufungwa na Team kutoka Tanzania.
6. Rivers hawajawai kupoteza uwanja wao wa nyumbani.
7. Watamkumbuka FEISAL
8. Rais wao ana ushikaji na wachezaji sana.
9.wamesajili bendi ya wakongo hawatofanya lolote kimataifa.
ONGEZEA.
Hii kauli ilikua inanikera sana na wengine humu JF waliitumia kwa kuiga tu. Sasa hivi wanaumbukaWazee wa bahasha ngoja mechi za kimataifa mtaona
kwa kuwa zipo, huwezi ukaja na kitu ambacho hakiexist π . Kuna watu hawajui kuwa, ukiacha Simba na Gor Mahia, hata Sports Club Villa (Jogoo) ilicheza fainali ya Kombe la Washindi Afrika, lakini wakaleta uzi kwamba Yanga ndio ya kwanza kucheza nusu fainali Afika Mashariki πππ. Sasa mtu kama huyo kwa nini usimletee takwimu ili ajione mweupe?Saizi kila siku wanakuja na Takwimu mpya
Jemedari Said mwanachi lia lia, ila mnamzibia ugali ndio maana anawasumbuaWakiongozwa na Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga.
Saizi kila siku wanakuja na Takwimu mpya
Mmetolewa hatua za awali klabu bingwa hivyo wachambuzi walikiwa sahihi tu1.Wanafanyaje pre season Avic Town halafu wanategemea mafanikio kimataifa wakati wenzao wanaenda Nje wanapata exposure.
2. Nabi sio kocha wa kimataifa na hana bahati kabisa na mechi za kimataifa.
3. wanakata upepo kipindi cha pili.
4. Yanga wanacheza friend mechi na chenza fc wenzao wameenda Dubai.
5. Yanga haina uzoefu kimataifa na wale Mazembe hawajawai kufungwa na Team kutoka Tanzania.
6. Rivers hawajawai kupoteza uwanja wao wa nyumbani.
7. Watamkumbuka FEISAL
8. Rais wao ana ushikaji na wachezaji sana.
9.wamesajili bendi ya wakongo hawatofanya lolote kimataifa.
ONGEZEA.
Kwani saivi tupo wapi kimataifaMmetolewa hatua za awali klabu bingwa hivyo wachambuzi walikiwa sahihi tu
Naona mashabiki wa simba siku hizi mnafanyia kazi NBS! Hongereni kwa kupata ajira nono.
Wanatumia nguvu kubwa sanaNaona mashabiki wa simba siku hizi mnafanyia kazi NBS! Hongereni kwa kupata ajira nono.
Ila mwisho wa siku Yanga iko nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika.