Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Dec 31, 2010 #1 Wewe upo wapi hapo???
M muh Member Joined Dec 13, 2010 Posts 7 Reaction score 0 Dec 31, 2010 #2 hahahaha alu tumetoka bali jamani enzi za hirizi kiunoni kwa imani ni ulinzi kwa mtoto. Mungu tufunguwe katika vifungo vya ibilisi
hahahaha alu tumetoka bali jamani enzi za hirizi kiunoni kwa imani ni ulinzi kwa mtoto. Mungu tufunguwe katika vifungo vya ibilisi
MadameX JF-Expert Member Joined Dec 27, 2009 Posts 7,792 Reaction score 3,856 Dec 31, 2010 #3 peke yako
Chapa Nalo Jr JF-Expert Member Joined Dec 8, 2010 Posts 7,518 Reaction score 6,506 Jan 1, 2011 #4 muh said: hahahaha alu tumetoka bali jamani enzi za hirizi kiunoni kwa imani ni ulinzi kwa mtoto. Mungu tufunguwe katika vifungo vya ibilisi Click to expand... Kwamba shanga ni vifungo vya ibilisi, hapana siamini, mbona tunavaa mikufu ya misalaba shingoni, pia tunafukiza madhabahu sasa kuna tofauti gani hapo. Shanga ni pambo tu kwa mtoto na kwa mwanamke.
muh said: hahahaha alu tumetoka bali jamani enzi za hirizi kiunoni kwa imani ni ulinzi kwa mtoto. Mungu tufunguwe katika vifungo vya ibilisi Click to expand... Kwamba shanga ni vifungo vya ibilisi, hapana siamini, mbona tunavaa mikufu ya misalaba shingoni, pia tunafukiza madhabahu sasa kuna tofauti gani hapo. Shanga ni pambo tu kwa mtoto na kwa mwanamke.
Maria Roza JF-Expert Member Joined Apr 1, 2009 Posts 6,803 Reaction score 1,601 Jan 1, 2011 #5 Hao wenye kamba kiunoni nahisi ni wakike
Inkoskaz JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 6,361 Reaction score 2,378 Jan 1, 2011 #6 mambo ya mapot made by tegry plastic