Tujikumbushe tulipotoka....

Tujikumbushe tulipotoka....

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
tototo.jpg
Wewe upo wapi hapo???
 
hahahaha alu tumetoka bali jamani enzi za hirizi kiunoni kwa imani ni ulinzi kwa mtoto. Mungu tufunguwe katika vifungo vya ibilisi
 
hahahaha alu tumetoka bali jamani enzi za hirizi kiunoni kwa imani ni ulinzi kwa mtoto. Mungu tufunguwe katika vifungo vya ibilisi

Kwamba shanga ni vifungo vya ibilisi, hapana siamini, mbona tunavaa mikufu ya misalaba shingoni, pia tunafukiza madhabahu sasa kuna tofauti gani hapo. Shanga ni pambo tu kwa mtoto na kwa mwanamke.
 
Back
Top Bottom