Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
🤣🤣🤣 naona linakaribia kutimiza mwaka sasa tangu waanze ujenziSijakosea Title iko sahihi kabisa wala sijakosea, wacha tuendelee kusubiri
Hawanaga mipango endelevuHawa Ccm Wanatuchezea Sana Sana
Puliza moto mkuuSijakosea Title iko sahihi kabisa wala sijakosea, wacha tuendelee kusubiri
Vawulence hiyo mkuu 🤣🤣Puliza moto mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😭🤣🤣😭😭😭 kuna wakati unacheka jinsi mipango na maelezo vinapopishana halafu ghafla unapatwa na huzuni na kuangua kilio.Hawanaga mipango endelevu
Hawa...sahvi sijui depot ya udart wataiweka wapi maana ubongo
Wampe mchina pale,tetesi watahamia
Sim 2000 na sim 2000 tuliyozaliwa ocean Road tunajuwa hilo ni eneo la posta ..
Udart/uda yard yao ya kule kurasini
Wamempa galco gisiem
Nchi hii mambo wanayofanya wanajuaga wenyewe
Ova
Kwa akili saanaa😂Vawulence hiyo mkuu 🤣🤣
Kwani Ikulu inatumika? au BOT?Hawanaga mipango endelevu
Hawa...sahvi sijui depot ya udart wataiweka wapi maana ubongo
Wampe mchina pale,tetesi watahamia
Sim 2000 na sim 2000 tuliyozaliwa ocean Road tunajuwa hilo ni eneo la posta ..
Udart/uda yard yao ya kule kurasini
Wamempa galco gisiem
Nchi hii mambo wanayofanya wanajuaga wenyewe
Ova
Hahahahahaaa unaona vizuri sana2022 tena??au sioni vizuri kwakuwa sijavaa miwani leo...
HahahahahahahaahahPuliza moto mkuu
Hahahaa Mama yake Lucas"Mama alikuwa hajaambiwa, ila sasa ndio kaambiwa basi katenga bil 300 za daraja"...nipo na Mwashambwa hapa ndio ananipa stori hizo
Akili mingi mkuu, ujumbe uwafikie wazee wa buku 7 wakiongozwa na MwashambwaKwa akili saanaa😂
Oooh Mwashambwa huyo ni MGERASI wa zama hizi, anahitaji ubatizo wa Yohana na wokovu wa Yesu🤣🤣🤣🤣Akili mingi mkuu, ujumbe uwafikie wazee wa buku 7 wakiongozwa na Mwashambwa
Vituko tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24] kuna wakati unacheka jinsi mipango na maelezo vinapopishana halafu ghafla unapatwa na huzuni na kuangua kilio.